Kuna dosari kwenye Kitengo cha kampeni UKAWA

Kuna dosari kwenye Kitengo cha kampeni UKAWA

Membe ndiye kinara wa kuwahujumu ukawa anatumia pesa nyingi sana hasa yale mabilion ya marehemu Gafafi kuwahujumu ukawa.
 
Vijana wengi wa Chadema wanagombea ubunge, so wapo majimboni wanapambana. Lowasa anakubalika hata bila kuweka matangazo kwenye TV, acha akina Makene na Mtoi wapambane majimboni
 
Na kwa kweli hili linanikera sana na nahisi kuna watu hawatimizi wajibu wao katika hili.
 
Tatizo nikwamba wenye akili timam wote ni ccm wengi walala hoi ndio wanaitaji ukwa na lowasa wakidhani watapokezwa pesa za bure!! Vijinga kweli.
 
Wana jf,
Ni ukweli usiopingika kwamba tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu, tumeshuhudia ukimya mkubwa katika kambi ya Ukawa kwenye kitengo cha uhamasishaji na matangazo.

Tofauti na wenzetu wa ccm ambao wameweka matangazo na amshaamsha kila pembe kama tv, radio, magazeti mitandaoni na kila sehemu ambapo wanahisi ujumbe utawafikia watu wengi kwa muda mfupi(haswa vijana).

Kinachonishangaza zaidi ni ukimya na kupooza huku ambako kumeingia hadi hapa ukumbini.
Sioni tena zile pilika tulizozizoea za akina Molemo na Tumaini Makene.

Swali langu kwenu viongozi wa ukawa, Mnafikiri bidhaa itanunulika vizuri bila matangazo?? Nb. Pamoja na uzuri wa bidhaa za Samsung, wanongoza pia kwa kuzitangaza. Chukueni hatua haraka!!

Kiziri chajiuza, kibaya chajitembeza! !!!!
 
Last edited by a moderator:
Kumnadi fisadi inataka moyo wa chuma

Escrow, EPA, Twiga kwenda abroad, Madawa ya kulevya, Mabehewa fake, Barabara zinazotitia......... (Mbona huyo anayetoka ktk chama chenye kashfa hizo ananadiwa, au nao wanamioyo ya zege?)
 
Ushauri tu.
Mgombea Lowassa tayarisha kuongea na watanzania kupitia Radio zote nchini na kueleza ukawa nini itafanya kila secta...hii inaweza kurekodiwa popote na kulipiwa na ikatangazwa kuwa kila saa tatu usiku lowasaa ataongea na wananchi kuongea secta zote za uchumi na kijamii.
Anaweza kuongea mfano leo kuhusu
Afya
Elimu
Kodi
Madini
Viwanda
Ajira na uhamiaji hovyo
Bima
Fedha
Viwanda
Biashara
Viwanja vya ndege na ATC
Polisi
Jeshi letu
Ujirani
Foreign policy
Bandari zetu
Railway usafiri
Foleni
Kilimo
Ufugaji
Nyumba
Banks
Mafuta na gesi
Ujasirimali
Barabara
Wallimu
Madaktari
Njia hii itakuwa ya aina yake na kila mtu atakaa kusubiri Lowassa anatuahidi nini.
Hivi ndio proffessiinal campain inavofanywa.
Kuna watu seriuos na proffesionals wanataka kujua zaidi kuhusu mstakabali wa kazi zao na biashara zao ndani ya ukawa. Bado hamjachelewa mnaweza kuanza wiki ijayo kila siku 15 minutes lowassa on Radio...
Meneja wa campain haya ni very impontant..musiangalie mafuriko tu..wafukieni wengine wakufahamuni
#ukawa
 
Hakuna haja ya kupoteza fedha wakati ukawa tumeshashinda.
 
Lowasaa yuko mioyoni mwetu. Tumejaribu kuweka matangazo ccm wameyattoa sasa tummewaacha tutawanyoosha tu.
 
Mabilioni aliyoahidi mamvi yalikuwa ni magumashi. Ndio maana Dr Slaa aliwaambia jamaa ni tapeli.
 
Ushauri tu.
Mgombea Lowassa tayarisha kuongea na watanzania kupitia Radio zote nchini na kueleza ukawa nini itafanya kila secta...hii inaweza kurekodiwa popote na kulipiwa na ikatangazwa kuwa kila saa tatu usiku lowasaa ataongea na wananchi kuongea secta zote za uchumi na kijamii.
Anaweza kuongea mfano leo kuhusu
Afya
Elimu
Kodi
Madini
Viwanda
Ajira na uhamiaji hovyo
Bima
Fedha
Viwanda
Biashara
Viwanja vya ndege na ATC
Polisi
Jeshi letu
Ujirani
Foreign policy
Bandari zetu
Railway usafiri
Foleni
Kilimo
Ufugaji
Nyumba
Banks
Mafuta na gesi
Ujasirimali
Barabara
Wallimu
Madaktari
Njia hii itakuwa ya aina yake na kila mtu atakaa kusubiri Lowassa anatuahidi nini.
Hivi ndio proffessiinal campain inavofanywa.
Kuna watu seriuos na proffesionals wanataka kujua zaidi kuhusu mstakabali wa kazi zao na biashara zao ndani ya ukawa. Bado hamjachelewa mnaweza kuanza wiki ijayo kila siku 15 minutes lowassa on Radio...
Meneja wa campain haya ni very impontant..musiangalie mafuriko tu..wafukieni wengine wakufahamuni
#ukawa

umeandika as a great thinker
 
Wenzako wameishaona wameshindwa hawawezi kupoteza pesa zao tena. Kwahio hayo mawazo mnayoyatoa toeni na pesa ili utekelezaji ufanyike sio blahblah...
 
Hakuna haja ya kupoteza fedha wakati ukawa tumeshashinda.

Kushinda kwa imani ni sawa ila dunia ya sasa iko kisayansi zaidi.
Juhudi na mikakati zinahitajika.
 
Ahsante Ukawa...kwa kufata ushauri wangu...
Kutoa mwenendo wa wa sera kupitia Radio.
Mbatia na viongozi wa ukawa wana ongea na wananchi kupitia Tv na Radio one.
Fanyeni vipindi hivi kila two days
 
Wana jf,
Ni ukweli usiopingika kwamba tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu, tumeshuhudia ukimya mkubwa katika kambi ya Ukawa kwenye kitengo cha uhamasishaji na matangazo.

Tofauti na wenzetu wa ccm ambao wameweka matangazo na amshaamsha kila pembe kama tv, radio, magazeti mitandaoni na kila sehemu ambapo wanahisi ujumbe utawafikia watu wengi kwa muda mfupi(haswa vijana).

Kinachonishangaza zaidi ni ukimya na kupooza huku ambako kumeingia hadi hapa ukumbini.
Sioni tena zile pilika tulizozizoea za akina Molemo na Tumaini Makene.

Swali langu kwenu viongozi wa ukawa, Mnafikiri bidhaa itanunulika vizuri bila matangazo?? Nb. Pamoja na uzuri wa bidhaa za Samsung, wanongoza pia kwa kuzitangaza. Chukueni hatua haraka!!

Hilo Nami Nililiona, Mfano Mdogo, Picha Ndogo Za Lowasa Ni Chache Sana Hasa Mjini, Kama C.C.M Wanaweka Kijana Wa Kuzilinda Kwanini Ukawa Wanashindwa? Huenda WAMEFIKA BEI?SLAA NAE ALIANZA HV HV KIMYA KIMY
 
Last edited by a moderator:
Tatizo si ukawa kuna dosari..kwani hujui kuwa bango lilowekwa kariakoo na kukusanya watu wengi limeshatolewa kisa eti pale sio sehemu ya siasa
 
Hakuna sababu ya kufanya fiesta watanzania walijiamulia wewe utulie utashangaa hayo matangazo na nguvu nyingi za nini?

Ccm wanatumia hujuma nyingi kutaka kubaki madarakani ila watu wameshaamua usitishike na hizo fiesta
just make an investigation you shall know what is going on now

ccm will never win this election ni kwa sababu hujui kinachoendelea tu.
 
Ahsante Ukawa...kwa kufata ushauri wangu...
Kutoa mwenendo wa wa sera kupitia Radio.
Mbatia na viongozi wa ukawa wana ongea na wananchi kupitia Tv na Radio one.
Fanyeni vipindi hivi kila two days

Kweli mkuu, angalao viongozi wamekuwa wasikivu.

Pamoja tutalikomboa taifa.
 
Back
Top Bottom