ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
Mdogo wangu alihitimu 'bachelor of science with education' mwaka 2015, hivyo ni miongoni mwa wanaosubiri ajira za ualimu.
Ana mpango wa kuomba kusoma diploma fulani ambayo kwanza ina 'Government Sponsorship', pili ajira serikalini baada ya kuhitimu ni 100%; na tatu diploma hiyo ina maslahi zaidi ya digree ya ualimu.
Matokeo ya kujiunga na diploma hiyo yanatarajiwa kutoka mwezi wa 7, ambao yeye atakua alishapangia shule ya kufundisha.
Alikua anafikiria kua, iwapo atachaguliwa kujiunga na hiyo diploma, basi ataacha ualimu hata kwa kutoroka na kwenda kusoma hiyo diploma.
Anaomba kujua kama kutoroka kwake ualimu kutatawezasababisha athari zozote katika ajira yake mpya (serikalini) baada ya kumaliza hiyo diploma.
Asanteni.
Ana mpango wa kuomba kusoma diploma fulani ambayo kwanza ina 'Government Sponsorship', pili ajira serikalini baada ya kuhitimu ni 100%; na tatu diploma hiyo ina maslahi zaidi ya digree ya ualimu.
Matokeo ya kujiunga na diploma hiyo yanatarajiwa kutoka mwezi wa 7, ambao yeye atakua alishapangia shule ya kufundisha.
Alikua anafikiria kua, iwapo atachaguliwa kujiunga na hiyo diploma, basi ataacha ualimu hata kwa kutoroka na kwenda kusoma hiyo diploma.
Anaomba kujua kama kutoroka kwake ualimu kutatawezasababisha athari zozote katika ajira yake mpya (serikalini) baada ya kumaliza hiyo diploma.
Asanteni.