Kuna athari gani kwa kula matunda na maji peke yake tu kwa muda mrefu?!

Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
-1.Mwili wa binadamu unataka balance diet
-2.kunenepa au kuwa na kidole tumbo(kitambi) ni alarm kuwa UNAZIDISHA na ziada inapelekwa store ndiyo hiyo minyama uzembe.
3.maji na matunda hayawezi toa the required calorific value kwa kiumbe hai
 
Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo
Bro issue siyo chakula ni KIASI!!!!!!
 
Usipokula wanga na protini mwili utakosa nguvu na kudhoofu misuli
Kula aina za vyakula ila kiasi kidogo
Mfano asbh....warm water mix na asali ikupe nguvu...endelea kunywa maji
Sa 4/5 kula matunda
Mchana lunch...ugali samaki mboga au mchemsho mradi iwe balanced diet..punguza wali na vya kukaanga
Sa 11 mtindi au nuts
Usiku matunda na maji
Lazma upungue
 
Usipokula wanga na protini mwili utakosa nguvu na kudhoofu misuli
Kula aina za vyakula ila kiasi kidogo
Mfano asbh....warm water mix na asali ikupe nguvu...endelea kunywa maji
Sa 4/5 kula matunda
Mchana lunch...ugali samaki mboga au mchemsho mradi iwe balanced diet..punguza wali na vya kukaanga
Sa 11 mtindi au nuts
Usiku matunda na maji
Lazma upungue

Okey nimekupata mkuu shukrani sana
 
Mzee baba huu ni uongo wa jua jeupe.... kilo 62 kwa futi 6.5 ni uongo mkubwa utakua kama chelewa... wewe una utapiamlo unless hujui maana ya futi.... una urefu karibu na Hashimu uwe na kilo 62.... We una utapiamlo
we ndo unazingua boss nina lbs 148.0 hizo ki kg ngapi?? hiyo 62 kg ni mara ya mwisho kupima umetumia vigezo gani kunipinga, kwa kutumia BMI nipo right

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • SmartSelect_20190317-145347_Chrome.jpg
    SmartSelect_20190317-145347_Chrome.jpg
    51.5 KB · Views: 16
Omba usiugue mkuu,Kuna Dada tulikuwa tunafanya naye mazoezi gum, alitumia matunda na mboga na maji. Alipitiwa na malaria kidogo, alishiia kulazwa kwa mikocheni hospitali,kila chakula ni muhimu maishani mwetu. Tatizo ni quantity na mda unaokitumia kama metabolism ipo juu au chini.pia miili ya watu ina respond tofauti na hizo diet

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilitumia mboga za majani, matunda na uji wa ulezi mwezi mzima...nilinyooka kama rula!...but sikuugua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom