Kuna athari gani kwa kula matunda na maji peke yake tu kwa muda mrefu?!

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Apr 15, 2015
880
1,098
Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
 
Madhara yanaweza kuwepo.. Japo hayawez kuonekana kwa haraka
Kwanza inategemea ni aina gani ya matunda ambayo unakula kwasababu mwili unahitaji virutubisho ili uweze kufanya kazi vizur.
kama mchanganyiko wa mtunda unayokula unakupa virutubisho karibu vyote then sio rahis kupata madhara yatakayoonekana
Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madhara yanaweza kuwepo.. Japo hayawez kuonekana kwa haraka
Kwanza inategemea ni aina gani ya matunda ambayo unakula kwasababu mwili unahitaji virutubisho ili uweze kufanya kazi vizur.
kama mchanganyiko wa mtunda unayokula unakupa virutubisho karibu vyote then sio rahis kupata madhara yatakayoonekana


Sent using Jamii Forums mobile app

Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo
 
Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
Omba usiugue mkuu,Kuna Dada tulikuwa tunafanya naye mazoezi gum, alitumia matunda na mboga na maji. Alipitiwa na malaria kidogo, alishiia kulazwa kwa mikocheni hospitali,kila chakula ni muhimu maishani mwetu. Tatizo ni quantity na mda unaokitumia kama metabolism ipo juu au chini.pia miili ya watu ina respond tofauti na hizo diet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Omba usiugue mkuu,Kuna Dada tulikuwa tunafanya naye mazoezi gum, alitumia matunda na mboga na maji. Alipitiwa na malaria kidogo, alishiia kulazwa kwa mikocheni hospitali,kila chakula ni muhimu maishani mwetu. Tatizo ni quantity na mda unaokitumia kama metabolism ipo juu au chini.pia miili ya watu ina respond tofauti na hizo diet

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh aseee umenifanya niogope km ni hatari zaid bas itabid nifanye mbinu mbadala tuu mkuu nisije pepesuka km huyoo 🧐
 
Sawa Dr. Ila usije ukakosea kama siku ile ukanifanyia operesheni kwenye kichwa cha chini badala ya cha juu...
Hilo tatizo kidaktari tunaliita Alzheimer's ambalo Dr wako hapa linanitokea mara kadhaa...ni bora wewe nilikufanyia hivyo

Kuna mmoja juzi hapa nimesahau mkasi tumboni
 
Hilo tatizo kidaktari tunaliita Alzheimer's ambalo Dr wako hapa linanitokea mara kadhaa...ni bora wewe nilikufanyia hivyo

Kuna mmoja juzi hapa nimesahau mkasi tumboni
Ahahahaha huna maana kabisa. Huwezi nichekesha namna hii mpaka nimepaliwa na K Vant...
 
Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo
una uzito kilo ngapi mkuu, na urefu wako ni sentimita ngapi? nataka nikushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
Hiyo ni diet nzuri sana na unapungua vyema huku ukipata vitamini za kutosha. Nimepunguza kilo 12 kwa kufanya hivyo.
Ila mimi ni mpenzi wa nyama sana so huwa napata na mshikaki 1 au 2 na sometime kipande cha kuku kwa mchana..

Ratiba huwa hivi.
1. Asubuhi chai ya rangi au mchaichai au tangawizi na iliki nashushia na slace 4 na brown bread au mihogo.
2. Mchana matunda mchanganyiko na nyama mishikaki miwili au robo kuku.
3. Usiku matunda tupu.
4. Asubuhi naamka saa 11 mazoezi then kazini...
Ratiba hii ni kwa jumatatu to ijumaa weekend ni mwendo wa gambe tu...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rahis kupata madhara kama utakula matunda yenye mchanganyiko na maziwa na samaki siku moja moja..
Uzito mkubwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa baadae
Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope...fanya diet ila sio ya matunda tu mwezi mzima
Changanya na chakula hata kama ni michemsho ya ndizi bila kuweka mafuta

Ushaur wako nitaufanyia kazi mkuu.... najitahid sana pia mazoe kwa sana maana uzito mkubwa nasikia sio mzuri kitaalam
 
Back
Top Bottom