Kuna anayemfahamu Mh Lazaro Nyalandu?

EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Waldorf University College (U.S.A)BA. (Business Administration)19941996GRADUATE
Wartburg University College (U.S.A)BA. (International Business)19971998GRADUATE
1994-1996 alimaliza B.A ina maana alikuwa anachukua"madarasa(credits)60 kwa mwaka?Maana B.A kule USA ni "madarasa(credits)at least 120 kumaliza!

Miaka 2 ninachojua mm unaweza maliza associate degree;anyway nipo tayari kufundishwa na akina Nyani Ngabu ilikuaje mwenzetu asome degree ya credits zaidi ya 120 kwa miaka 2 tu!!

(Hapo sijaweka masomo kama vile English 0301 hasa kama nchi unayotoka"english is second language"huwa wanabanwa kuyachukua;USA history 1 & 2;USA Government 1& 2 na mengine mengi yasiyotakiwa kwenye majors)
 
Mkuu ukichukua 1996 - 1994 utapata 2 years, lakini ukihesabu 94, 95, 96 unapata 3years....lol
 

Nimegonga like kwa JF.
 
Ohoooooo!! Now i see, so this is about geting publicist!! Creating the name from unknown to known. All the best but better be careful because there is a saying that " As you go up more people see you ass (ashakum si matusi)" What i mean is you are starting to highlight him then be ready for the good and bad news.

 
Kabla sijaamua kugombea Udiwani nitamwomba Invisible akague kama nina Record chafu katika maisha yangu, sitaki kuaibika baadae!
 
Bwana huyu karudia saaaaana drs la saba. Mara ya mwisho ilikuwa mrumba s/m ndipo alipofanikiwa kwenda Kibaha sec. na inasemekana ni mizengwe ndio iliyofanikisha kuafaulu. Kitu ninachokumbuka, alikuwa anajujua kuongea kingereza. Hii ni kwa ufupi nikipata mda nitaendeleza.
 

Kuna watu ajabu sana, ina maana hiyo court case detail ya IOWA State VS. Lazaro Nyalandu ambayo inaonyesha alilipa $50 na that there was no appeal Invisible kai forge?

Acheni kui insult our intelligences bana!
 
Charges zake kwa mujibu wa rekodi ni code 708.2(4), he was found gulity and sentenced, na hiyo code ni hii...

Kosa lake lazima litakuwa miongoni mwa vifungu hivyo sita hapo juu...Nadhani ni hichochanne nilicho highlight!

No wonder hakujali pesa ya shule ya masikini (only tsh 40,000) kuchangia arusi yake ya kifalme, halafu eti mnataka mumpe nchi.

Mibongo sisi tuna laana!

Note: A Class D felony is a crime that is considered very serious yet falls on the lower scale of the crimes that are categorized as felonies.

A person who is convicted of a Class D felony has been found guilty of committing a serious crime, but may not spend as much time in prison or face as many other penalties as he would if he were convicted of another type of felony.

The crimes that may count as Class D felonies depend on the jurisdiction in which the crime is committed. In some places, unlawful surveillance is considered a Class D felony, as is criminal possession of a weapon.

Likewise, giving a false report of an incident may fall into this felony category.

Fraud, felony drunk driving, and certain types of theft may be considered Class D felonies as well.

Additionally, some crimes involving sexual performances by minors may fall into this category.
 


Hatutafuti rais wa unyamwezini marekani tunatafuta rais wetu!
 


ccm imeoza kaka,wale wazee hawana mpango,huyu ndio mwenye nafuu....mwanzoni niliutegemea sana upinzani bahati mbaya nao wanaonekana wanashiriki kampeni za kuwasimika mafisadi watutawale tena!
 
Heheheeheheeeeeeee kumbe ROMANTIC ni nyalandu...hehehehe...teh teh teh

tatizo hamjazowea siasa za uwazi na ukweli,ndio maana mnahangaika na mimi....shida yangu mimi ni mkweli kupitiliza, sio mnafiki na pia ninasimamia ninachokiamini bila kuyumba ama kuyumbishwa,ila naamini huko mbele wengi tutakua pamoja ukweli utakapodhihiri,nimesema pahala huko nyuma nchi inahitaji integrity and leaders who seek justice and development regardless of political divide,sio viongozi ambao hawajui kwa nini Tanzania ni masikini na wale wanaotuambia uchumi unapaa kumbe anaepaa ni yeye na familia na marafiki zake,sisi wanatuacha uwanja wa ndege!
 
hakuna fisadui mwenye siasa za uwazi na ukweli acha uongo!

unaweza kunieleza kwa ufasaha ufisadi wa nyalandu?achana na kina lowassa,sijui jk na wengine,ufisadi wa nyalandu tuwekeeni hadharani hata alipotajwa tajwa tu kuhusika kuhujumu uchumi wa nchi hii..
 
Ina maana The Romantic hajui kusoma?. Ina maana yote yaliyoelezwa hapo juu, incl criminal charges na kukutwa na kosa. Bado anafaa?
 
Namfahamu nyalandu kama mbunge wa singida kaskazini na naibu waziri wa viwanda na biashara lakini vilevile ni mwizi wa fedha za ufadhili wa wanafunzi kutoka marekani.
 
unaweza kunieleza kwa ufasaha ufisadi wa nyalandu?achana na kina lowassa,sijui jk na wengine,ufisadi wa nyalandu tuwekeeni hadharani hata alipotajwa tajwa tu kuhusika kuhujumu uchumi wa nchi hii..

Lazaro ni fisadi......... kwa kila hali kama hutaki unaacha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…