Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Nimekutana na hili bandiko mahali kwa kweli nimesikitika sana na pia nampongeza sana mke wake kwani wengine wangekimbia.
Huyu mama amekuwa bega kwa bega akimhudumia mume wake tangu augue hadi sasa huyu mama ni mzee na hajawahi choka na pia nimependa kwa jinsi akivokataa mme wake asichomolewe mashine ya kumsaidia kupumua hadi Mungu atakapoamua mwenyewe.
Naomba mwenye picha za wanawe kwa sasa na mkewe pia. Hakika alipata mke
Huyu kaka ameniumiza roho sana jamani
Naomba na mwenye kujua maisha ya watoto wake walipo na wanafanya nini kwa sasa
Huyu mama amekuwa bega kwa bega akimhudumia mume wake tangu augue hadi sasa huyu mama ni mzee na hajawahi choka na pia nimependa kwa jinsi akivokataa mme wake asichomolewe mashine ya kumsaidia kupumua hadi Mungu atakapoamua mwenyewe.
Naomba mwenye picha za wanawe kwa sasa na mkewe pia. Hakika alipata mke
Huyu kaka ameniumiza roho sana jamani
Naomba na mwenye kujua maisha ya watoto wake walipo na wanafanya nini kwa sasa