Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Niliwahi pata msukuma kumbe mme wa mtu alinificha. Ila alikuwa mtamu sana kitandani madikodiko Kama yote . Tatizo lake alikuwa mbahiri sana yaani hela yake huwezi kuipata nikambwaga.