Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Imagine unapata ajali ukiwa unatoka au unaenda kununua Malaya
Imagine unapata ajali kwasababu ulikuwa unafata umbea wa jambo Fulani.
Imagine unapata ajali ukiwa unaenda sehemu ambayo haikuhusu tena unaenda kwa kuvizia ulikatazwa.
Imagine unapata ajali ukiwa umetoka kumcheat mme au mke wako.
Imagine unapata ajali ukiwa unaenda sehemu kufata umbea au kugombanisha watu.
Kuna ajali alafu Kuna ajali za aibu, Mungu atuepushe na ajali za aibu.
Ni kheri kukosa kabisa ajali au kupata ajali ukiwa unatafuta ugali wako au wa familia Yako.
Karibuni. ....Uzi Tayari
Imagine unapata ajali kwasababu ulikuwa unafata umbea wa jambo Fulani.
Imagine unapata ajali ukiwa unaenda sehemu ambayo haikuhusu tena unaenda kwa kuvizia ulikatazwa.
Imagine unapata ajali ukiwa umetoka kumcheat mme au mke wako.
Imagine unapata ajali ukiwa unaenda sehemu kufata umbea au kugombanisha watu.
Kuna ajali alafu Kuna ajali za aibu, Mungu atuepushe na ajali za aibu.
Ni kheri kukosa kabisa ajali au kupata ajali ukiwa unatafuta ugali wako au wa familia Yako.
Karibuni. ....Uzi Tayari