Wapo malaya wa Facebook, WhatsApp na wale wa maofisini wa kimya kimya lakini unakuta ofisi nzima kaimaliza hao ni changudoa silence ambao wakati mwingine hujidai ni expensive sana hupenda simu za gharama, hotel za juu kila usiku wapo bar kubwa kubwa, hawalali ni mapopo kama wanaijeria, Umalaya Dsm upo kila kona kwani umdhaniaye kuwa katulia kumbe ni changudoa wa kimya kimya kwa waume za watu, mwingine ataonekana kama mcharuko kumbe si malaya ni mjanja wa kukwepa vishawishi, machangudoa wengi siku hizi huenda kujiuza kwenye hotel zenye swimming pool, huko ndipo wengi hujiuza kimya kimya, ukiona mwanamke anapenda swimming ujue huyo hafai tena vinginevyo awe anakwenda na watoto wake au mme wake kinyume na hapo ni Umalaya kwa kwenda mbele.