Kuna aina tatu za machangudoa

Kuna aina tatu za machangudoa

Daah nrushie aisee kama unayo wanayotumia fb maana hao wanakuwa quality kidogoo aisee:flypig:
Hawa hata malipo yao yako juu kwa sababu nao ni Quality, usishangae kuambiwa ameagiza gari liko Bandarini, anomba umtolee. Au anakwambia uchukue gari lake ulipeleke kwa fundi wako au analipeleka mwenyewe halafu anakwambia uongee na fundi kuhusu malipo.
 
Daaah,, yaan mke wangu cjui atazaliwa lini,, ila dawa n kutafuta sehemu ya kujihifadhi katika hizo tatu ili badae nawe yakikukuta usiumie sanaaa,,
 
Nimeipata kutoka kwa matumbo


Changudoa wako aina 3

1. Changudoa huru
- Hawa ni wale wanaosimama barabarani na sehemu nyingine za starehe. Wako huru yoyote yule hupata huduma. Wengi wao ni wezi hawachelewi kukuliza wakipata fursa na hii ndiyo kazi wanayoitegemea kwenye maisha yao. Wao ni cash tu hakuna cheki wala mkopo. Hawana wivu kabisa

2. Changudoa mtandao
- Hawa hufanya kazi kwa njia ya mawasiliano ya simu na mitandao ya kijamii. Wengi wao ni wastaarabu na wengine huwa na kazi nyingine.
Anaweza kuwa na wateja wake 15 hivi ambao anajua jinsi ya kuwapanga na anaweza kutoa mkopo. Pia wana wivu kidogo.

3. Changudoa siri
- Hawa ni wapenzi/wachumba/wake za watu
Malipo yao si ya moja kwa moja yaweza kuwa lunch, lift, mafuta ya gari, cheo au upendeleo kazini na mizinga ya hapa na pale. Huwa na wateja 2 - 3 mara nyingi huwa ni workmates au classmates au jirani yake. Biashara yake hufanya saa za kazi hivyo ni vigumu kujua. Wana wivu sana



Wewe umekutana na aina gani ya changudoa.Toa ushuhuda wako
Wako yuko kundi gani?
 
Wapo malaya wa Facebook, WhatsApp na wale wa maofisini wa kimya kimya lakini unakuta ofisi nzima kaimaliza hao ni changudoa silence ambao wakati mwingine hujidai ni expensive sana hupenda simu za gharama, hotel za juu kila usiku wapo bar kubwa kubwa, hawalali ni mapopo kama wanaijeria, Umalaya Dsm upo kila kona kwani umdhaniaye kuwa katulia kumbe ni changudoa wa kimya kimya kwa waume za watu, mwingine ataonekana kama mcharuko kumbe si malaya ni mjanja wa kukwepa vishawishi, machangudoa wengi siku hizi huenda kujiuza kwenye hotel zenye swimming pool, huko ndipo wengi hujiuza kimya kimya, ukiona mwanamke anapenda swimming ujue huyo hafai tena vinginevyo awe anakwenda na watoto wake au mme wake kinyume na hapo ni Umalaya kwa kwenda mbele.
. Hao wa swimming Wamejaa Singida, wanapatikana Infinity Lounge. wengi wao ni wanafunzi wa vyuo fulani fulani.
 
Daaah,, yaan mke wangu cjui atazaliwa lini,, ila dawa n kutafuta sehemu ya kujihifadhi katika hizo tatu ili badae nawe yakikukuta usiumie sanaaa,,
Uzuri anatakayezaliwa naye atakuwa vivyo hivyo, kwa sababu hurithi tabia hizo toka kwa mama zao na bibi zao.
 
kweli wanawake tumeumbiwa wanaume.........kama bidhaa yetu vile....poleni.
 
hao wa namba tatu ni kweli wapo..na wengi utaona wanafanya kazi sehemu nzurii...tuu. ila ndo hvyo unakua unawapiga taratibu taratibu
 
Back
Top Bottom