Ukipata ukimwi mm simo
Ndomu zipoo
Ukipata ukimwi mm simo
Namba 1 ndy wazur hamna kusumbuasumbuan kweny cm ndy safi 2 na 3 hao njaa sn.
Kuna lichangudoa namba 3 ni balaa,linanisumbua ni tatizo.
Hawa namba 3 ndo watamu.
Kwa mtizamo wako basi karibia asilimia kubwa ya wanawake ni machangudoa hasa no.3,wanaume wengi wanapenda hili kundi sijui wao vip
Wanaume wakiweza kupiga mgomo wa Tamaa za mwili sijuia hao changudoa wa kimya kimya watakula wapi?Kuna wale wanaopenda kutega sehemu fulani fulani hivi.
Malls, Cinema, Hotels, Lounge...
Ukiwaona wa gharama kuanzia nywele hadi kucha, wengi wao wasomi.
Waongo balaa, hawana kazi wala biashara inayojulikana ila wanaishi maisha ya juu.
Miili yao inawalipa.
Wanaume wakiweza kupiga mgomo wa Tamaa za mwili sijuia hao changudoa wa kimya kimya watakula wapi?
Hata mm huwa najiuliza wateja wao ni kina nani,na wanajulikana kwa jina gani?