Kuna aina tatu za machangudoa

Kuna aina tatu za machangudoa

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,753
Nimeipata kutoka kwa matumbo


Changudoa wako aina 3

1. Changudoa huru
- Hawa ni wale wanaosimama barabarani na sehemu nyingine za starehe. Wako huru yoyote yule hupata huduma. Wengi wao ni wezi hawachelewi kukuliza wakipata fursa na hii ndiyo kazi wanayoitegemea kwenye maisha yao. Wao ni cash tu hakuna cheki wala mkopo. Hawana wivu kabisa

2. Changudoa mtandao
- Hawa hufanya kazi kwa njia ya mawasiliano ya simu na mitandao ya kijamii. Wengi wao ni wastaarabu na wengine huwa na kazi nyingine.
Anaweza kuwa na wateja wake 15 hivi ambao anajua jinsi ya kuwapanga na anaweza kutoa mkopo. Pia wana wivu kidogo.

3. Changudoa siri
- Hawa ni wapenzi/wachumba/wake za watu
Malipo yao si ya moja kwa moja yaweza kuwa lunch, lift, mafuta ya gari, cheo au upendeleo kazini na mizinga ya hapa na pale. Huwa na wateja 2 - 3 mara nyingi huwa ni workmates au classmates au jirani yake. Biashara yake hufanya saa za kazi hivyo ni vigumu kujua. Wana wivu sana



Wewe umekutana na aina gani ya changudoa.Toa ushuhuda wako
 
Nimeipata kutoka kwa matumbo


Changudoa wako aina 3

1. Changudoa huru

- Hawa ni wale wanaosimama barabarani na sehemu nyingine za starehe. Wako huru yoyote yule hupata huduma. Wengi wao ni wezi hawachelewi kukuliza wakipata fursa na hii ndiyo kazi wanayoitegemea kwenye maisha yao. Wao ni cash tu hakuna cheki wala mkopo. Hawana wivu kabisa

2. Changudoa Mtandao

- Hawa hufanya kazi kwa njia ya mawasiliano ya simu na mitandao ya kijamii. Wengi wao ni wastaarabu na wengine huwa na kazi nyingine
Anaweza kuwa na wateja wake 15 hivi ambao anajua jinsi ya kuwapanga na anaweza kutoa mkopo. Pia wana wivu kidogo.


.....dah hapo kwenye red,,hivi hao wanapatikana wapi na kama kuna ana majina yao kwenye mitandao
 
Yaan kuna watu wanataka kutajiwa na majina hao design ya pili wapo wengi kweli
 
Namba 1 ndy wazur hamna kusumbuasumbuan kweny cm ndy safi 2 na 3 hao njaa sn.
 
Asilimia kubwa ya Changudoa Mtandao wana VVU.
Bora Changudoa Siri.
 
No 3.
Nimesumbuliwa karibu nibadilishe namba ya simu.
 
namba tatu hawana gharama kwa kuwa wengi wao ni wake za watu hivyo hawahitaji vitu vikubwa sana , mafuta tu gari lita mbili au vocha tu unakula mzigo.
 
kuna tofauti kati ya changudoa na Malaya

Yeah! Yeah! Yeah! Changudoa has a sense of business and investment and she remembers to charge for her sevices. *yawns and goes back to watch EMPIRE!
 
Yeah! Yeah! Yeah! Changudoa has a sense of business and investment and she remembers to charge for her sevices. *yawns and goes back to watch EMPIRE!

Madem wengi wa mtaani ni malaya na kuna machangudoa bubu
 
Back
Top Bottom