Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,378
Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.
Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.
Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Hayo maneno mawili ya mwisho ndo janga la kitaifa! Sijui nani katuloga! Lkn dah utamu wa kondoo mkia wake bhana! Hahaha wanaume tu wadhaifu sana kwenye hayo madude.
Uniambie hapahapa mkuu
Tatizo wanaume hatutembei na x ray ili tuone tabia zao.tunachoona ni shape na suraHahahah Sisi wanaume tunadhani NDOA ni mvuto wa Shape na Sura, mvuto wa sex na kushindana na marafiki.
Tatizo wanaume hatutembei na x ray ili tuone tabia zao.tunachoona ni shape na sura
Umenifurahisha π€©π€©eti ..... makubwa haaaahhhhhhUnaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.
Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.
Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Yakheee matako ndio ugonjwa wetu atiii ekisha tabia baadaeUnaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.
Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.
Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Hapo ndio wanaume mnapofeli na kuangukia pua, kwa kuona kuwa mke ndio ana jukumu la kuilinda ndoa isivunjike wakati mme anafanya kila linalohatarisha uwepo wa ndoa hiyo...Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia na kumfanya mume atulie....
Aina ya pili ni mke ambae kila mmoja anae.. πππππ
Hebu msifie mama chanja wako