Kuna aina kuu mbili za mke

Kuna aina kuu mbili za mke

Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.

Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.


Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.

Hayo maneno mawili ya mwisho ndo janga la kitaifa! Sijui nani katuloga! Lkn dah utamu wa kondoo mkia wake bhana! Hahaha wanaume tu wadhaifu sana kwenye hayo madude.
 
Ukipata tako Kama lile la sanchoka umemaliza kila kitu dude Kama lile ukileaka ndani

Yaani hilo bichwa utakalo kuwa nao na kibur na majivuno unaweza ukawa unatukana tu flat screen ukiwaona barabarani
Hayo maneno mawili ya mwisho ndo janga la kitaifa! Sijui nani katuloga! Lkn dah utamu wa kondoo mkia wake bhana! Hahaha wanaume tu wadhaifu sana kwenye hayo madude.
 
Hahahah Sisi wanaume tunadhani NDOA ni mvuto wa Shape na Sura, mvuto wa sex na kushindana na marafiki.
Tatizo wanaume hatutembei na x ray ili tuone tabia zao.tunachoona ni shape na sura
 
Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.

Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.


Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Umenifurahisha 🤩🤩eti ..... makubwa haaaahhhhhh
 
Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.

Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.


Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Yakheee matako ndio ugonjwa wetu atiii ekisha tabia baadae
2024674265240762409_57400207_272581456955737_9214820966968857325_n.jpeg
 
Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia na kumfanya mume atulie....

Aina ya pili ni mke ambae kila mmoja anae.. 🏃🏃🏃🏃🏃
Hebu msifie mama chanja wako
Hapo ndio wanaume mnapofeli na kuangukia pua, kwa kuona kuwa mke ndio ana jukumu la kuilinda ndoa isivunjike wakati mme anafanya kila linalohatarisha uwepo wa ndoa hiyo...

Msipobadilisha mtazamo kuhusu ndoa, Mtabakia kusemasema vinenoneno kama hivi...
 
Back
Top Bottom