Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
hahahahahhaa. ni shiiidaNdoa za siku hizi bwana za ajabu sana....yaani wanandoa wanaishi kimachale machale kama wapo somalia....
hahahahahhaa. ni shiiidaNdoa za siku hizi bwana za ajabu sana....yaani wanandoa wanaishi kimachale machale kama wapo somalia....
Imeshatumbukia mkuu inamalizia kuzama tu.....kweli ndoa za siku hizi ni mitetemo ya ardhi sijui kwanini watu wamevamiwa kiasi hichi
yani inafikia hata kufichiana mshahara kweli dosari limeikumba meli na ipo siku itatumbukia baharini
Basi ukiona mke haaminiki kusanya salary slip zako fungia mahali zikiwa nyingi beba peleka kwa mama ako akutunzie shida ipo wapi?tatizo ni kwamba hawaaminiki na hawakawii kugeuka,
hatakiwi kujua chochote ye kikubwa nimpatie matumizi yake tu
Inategemeana na aina ya mwanamke pengine, lakini tukubali wapo wanawake wanao jitambua na ni msaada mkubwa sana kwa mume na ndio chanzo kikubwa cha mafanikio ya familia, ukipata mke mwema anaye jitambua huna haja ya kumficha kiasi hicho yani unamuona mkeo kama unaishi na jambazi?nashindwa kuelewa ni ,mwanamke au ni mke wa aina gani anazungumziwa hapa .Ni sawa na kumpatia document zote atunze yaan hati za nyumba, vyeti vyako, kadi za gari n.k.
Siku akiamka vibaya huna chako.. same applies to salary slip. Kwa akili za wanawake mola mwenyewe anajua usijiexpose saaaana utajuta siku moja.
Ndoa za siku hizi bwana za ajabu sana....yaani wanandoa wanaishi kimachale machale kama wapo somalia....
Mpaka umemwoa ina maana mmeaminiana,bila hivyo una maana ya kuishi naye kama mkeHuwa najiuliza hivi ni haki kumwonyesha mke salary slip na kujua mshahara wako? Mwenye maoni tafadhali anakaribishwa.
Kama utafanya hivyo huyo siyo mke ni kahaba umeoaNi sawa na kumpatia document zote atunze yaan hati za nyumba, vyeti vyako, kadi za gari n.k.
Siku akiamka vibaya huna chako.. same applies to salary slip. Kwa akili za wanawake mola mwenyewe anajua usijiexpose saaaana utajuta siku moja.
Ewaaaa.... kwa mfano mimi na rafiki yangu Reginald Mengi.... salary slip hatuna ila simu tunazo.Salary slip mwonyeshe ila simu hapana.