1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Jamaa wameona kwa jinsi mchezo ulivyo mgumu basi njia pekee iliyobaki ni kwenda zanzibar ambako walitumia waganga wa pemba kuipiga 5 timu moja ambayo jana imekaa kikao na wachezaji kubaini tatzo wakati ukweli ni kuwa wao ndio tatizo kubwa ndani ya timu.
Narudia tatizo sio wachezaji wa timu iliyofungwa mabao 5 kwa 1, tatzo like kwenu viongozi, mnawashushia lawama za bure players.
Nyie mliofungwa na waarabu bao 3 huko zanzibar labda mcheze na azam au mliowafunga 5 sawa lakin Percy Tau ni habari nyingine.Wale michuano hii ndio nyumbani kwao, hata mhangaike vip na uzuri wake wengine kiingereza cha kuombea maji tunakijua, tutakwenda kwenye website yao to tell them that the should be very keen about superstitions against their opponent.We will tell them you are ready to sacrifice anybody in order to win the game.
They should take precautions when they land at the airport since their opponent will start to pour their magic water there, do not agree to board their bus, come with your food, communicate with me through mobile number 0787444444888888 if you want to overcome Utopolo.
You will be grateful to me.
Narudia tatizo sio wachezaji wa timu iliyofungwa mabao 5 kwa 1, tatzo like kwenu viongozi, mnawashushia lawama za bure players.
Nyie mliofungwa na waarabu bao 3 huko zanzibar labda mcheze na azam au mliowafunga 5 sawa lakin Percy Tau ni habari nyingine.Wale michuano hii ndio nyumbani kwao, hata mhangaike vip na uzuri wake wengine kiingereza cha kuombea maji tunakijua, tutakwenda kwenye website yao to tell them that the should be very keen about superstitions against their opponent.We will tell them you are ready to sacrifice anybody in order to win the game.
They should take precautions when they land at the airport since their opponent will start to pour their magic water there, do not agree to board their bus, come with your food, communicate with me through mobile number 0787444444888888 if you want to overcome Utopolo.
You will be grateful to me.