sangagh
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 255
- 184
Aahahahah... Kumbe huwa mnakerwa eHii michepuko hii,kuna wakati inakera mpaka unatamani umwambie mkeo.
Aahahahah... Kumbe huwa mnakerwa eHii michepuko hii,kuna wakati inakera mpaka unatamani umwambie mkeo.
Oooh kumbe ndivyo mnavyofanya!!!mchepuko unatakiwa kuabiwa ukweli.mke unamficha.hapo ndio burudani ya kuchepuka utaiona.
maana hata mke akikukagua na kumpigia mchepuko,mchepuko unampooza kuwa na rafiki wa kawaida wa kazini au kibiashara.hapo inakuwa burudani
Umesahau na mada za Njaa nchini, of course ndio zinaTrend kinomanomaWabongo tunaigana kila kitu, mpaka mawazo. Zikianza topics za kupiga puli, zitafuatana kibao; kunuka nyuchi, vivyo hivyo. Saivi naona ni zamu ya michepuko.
umeuuuua miss, eti kiburudisho tuni vizuri ukamwambia una mke na kumuaminisha kuwa uanaipenda ndoa yako yeye ni kuburudisho tu
Umesahau na mada za Njaa nchini, of course ndio zinaTrend kinomanoma
Nilikuwa narejea kuhusu post yako uliosema "wabongo tunaiga kila kitu, hadi mawazo"Kwani hakuna njaa? Juzi kati niliona kwenye account ya Twitter(verified) ya maza flani raia wa kigeni, akishukuru wadau kwa kuwezesha kuwalisha watoto kadhaa Tanzania. Aliambatanisha na picha ya sahani kadhaa za makande sijui yale..?! Sijui ni watoto yatima, au wahanga wa njaa.
Nilikuwa narejea kuhusu post yako uliosema "wabongo tunaiga kila kitu, hadi mawazo"
View attachment 460681
"kwani hakuna njaa?" it's a new topic.
Anyways, huenda ipo kweli, lisemwalo lipo, na kama halipo laja.
Mi sina ushahidi, maana nyumbani kwangu nina hadi chakula cha akiba.
kuna uzi umenichekesha sana, eti waziri mkuu anasema nchi haina njaa, ila ikitokea watatangaza..!!Niliuliza ili kama kuna njaa kweli, then hizo mada ziko justified. Na mfano ulilenga kuonyesha kuwa siyo wabongo tu wanaongelea njaa, kama ilivyo kwa hizi mada nyingine.
ndiyo asije akategesha mimbaumeuuuua miss, eti kiburudisho tu
hahahhahahahahah
wewe jaman huwezi amini natamani nikuone tu hata nikununulie maji/soda.ndiyo asije akategesha mimba
ongezea unipe na kapesa hapo .. nipo tayari na mimi nikuone niongeze umbea hhahahahahawewe jaman huwezi amini natamani nikuone tu hata nikununulie maji/soda.
uko tayari mamito? I love you and your comments ofcourse.
kuna uzi umenichekesha sana, eti waziri mkuu anasema nchi haina njaa, ila ikitokea watatangaza..!!
hahahhaahah kapesa hata mie nataka aisee, si unajua DNA yangu mkuu? au unajifanya kunipotezea. DNA yangu kwenye hayo mambo ni kama yako.ongezea unipe na kapesa hapo .. nipo tayari na mimi nikuone niongeze umbea hhahahahaha
Ha ha ha yangu umekuzidihahahhaahah kapesa hata mie nataka aisee, si unajua DNA yangu mkuu? au unajifanya kunipotezea. DNA yangu kwenye hayo mambo ni kama yako.