Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 30,010
sasa mm nifunguke nn Jamaan sina cha kufunguka
Ha ha ha hv na wewe una kamchepuko kumbe dada
sasa mm nifunguke nn Jamaan sina cha kufunguka
Ha ha ha hv na wewe una kamchepuko kumbe dada
halaf mm sio dada ako, mchepuko ninao ndio Ila ni muhuni
Ishawahi kumtokea rafikiangu alikua na mchepuko akafikq kama hana mtu kumbe kaolewa mwisho wa siku achepuko akajua kua anamume na mume akajua kama mkewe anachepuka ikawa mwisho wa wote alikosa mume na mchepuko
Mmmmh kimenuka kwan wewe kuchepuka sio uhuni dada [emoji23][emoji23][emoji23]
Na kwa nini uwe na mchepuko kwanza... Kwa nini usikitulize...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hii michepuko hii,kuna wakati inakera mpaka unatamani umwambie mkeo.
umeniuliza habari za mchepuko wangu sio mm, Bonny mm sio dada ako narudia tena.
Hili linatuhusu jinsia zote.
Inawezekana umeshawahi kuchepuka au la. Lakini swali la msingi ni hili, kuna umuhimu wowote wa kumwambia mchepuko kama una mume au mke? Je ukimwambia madhara yake ni yapi na usipomwambia madhara yake ni yapi? Msije kusema nachekelea kuchepuka, but we live the reality.
Nasema hivi kwa sababu kuna rafiki yangu juzi kati yamemkuta. Alikuwa na kamchepuko kake, mimi sikujua ilikuwaje, but baada ya mambo yake kubuma akanishirikisha nimshauri la kufanya nikashindwa kabisa. Hakuwahi kumwambia mchepuko wake kama ana mke, sasa huyo mchepuko akawa anambana jamaa kweli kweli. Akawa anakagua simu ya jamaa kwa usiri wa hali ya juu bila jamaa kujua. Akanasa namba za mke wa jamaa. Na siku moja akampigia simu na kumwaga ugali na mboga kwa pamoja. Ninavyoongea jamaa ndoa imeshavurugika.
Ni hayo tu kwa leo, hodi jukwaani
Mithali 5:1-8
1Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,![]()
sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,
2ili uweze kutunza busara![]()
na midomo yako ihifadhi maarifa.
3Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba![]()
hudondoza asali, na maneno ya kinywa chake
ni laini kuliko mafuta,
4lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,![]()
mkali kama upanga ukatao kuwili.
5Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo,![]()
hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini
6Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima,![]()
njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.
7Sasa basi wanangu, nisikilizeni,![]()
msiache ninalowaambia.
8Njia zenu ziwe mbali naye,![]()
msiende karibu na mlango wa nyumba yake,
Biblia inavyosema kuhusu changudoa/malaya/nyumba-ndogo/michepuko .... etc
Kabisa tena unaongezea unamuambia wewe nakutumia kwa ajili ya kuridhisha tamaa zang za mwili nikikuchoka ama nikikukinai ntarud kwa mke wang ama ntatafuta kisichana kingineni vizuri ukamwambia una mke na kumuaminisha kuwa uanaipenda ndoa yako yeye ni kuburudisho tu
kabisa na utakuwa huru kabisaKabisa tena unaongezea unamuambia wewe nakutumia kwa ajili ya kuridhisha tamaa zang za mwili nikikuchoka ama nikikukinai ntarud kwa mke wang ama ntatafuta kisichana kingine
nimecheka kweli. thubutuuuuuu. utaanzaje kama hutajibaraguza kuwa kuna mdada ananisumbua.Hii michepuko hii,kuna wakati inakera mpaka unatamani umwambie mkeo.