IlangiKwetu
Member
- Oct 9, 2014
- 85
- 33
Unaogopa Mimba kuliko UKIMWI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ???????????????????? Epicauta elbovitata
Last edited by a moderator:
Usingetoa utaalam kwenye hili ningeomba bwanshemej anirimuvu kwa mudaWithdrawal method haiko na uhakika wa 100%. Nenda kwa wataalamu uelimishwe njia sahihi itakayoendana na mipango yako ya karibuni. Precum inaweza kubeba mbegu pia.
Unaogopa Mimba kuliko UKIMWI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ????????????????????
Mkuu Swali Langu mbona halijauliza kuhusu UKIMWI kabisaa..
Swali langu lilikua kuhusu Withdraw tu
Withdrawal method haiko na uhakika wa 100%. Nenda kwa wataalamu uelimishwe njia sahihi itakayoendana na mipango yako ya karibuni. Precum inaweza kubeba mbegu pia.
Ndo ivoo ivoo!!???
Hii njia inafaa kama utakuwa na timing nzuri ya kuchomoa. Na inatakiwa ukishapiga goal usirudie tena eneo la tukio vinginevyo kuna asilimia kubwa kupata mimba sababu kunakuwa na mbegu bado ziko kwenye njia ya uzazi ya mwanaume. Vinginevyo kama unataka kurudia goal la pili ufrash kwa kukojoa na kujisafisha uume then rudi on stage for the game. Mimi hufanya hivyo na huwa ni salama.
Tumia njia nyingine za uzazi wa mpango. Njia uliyoitaja haikuwezeshi kuzithibiti mbegu zote.
Haya mandiko misiwe mnakariri aliuwawa siyo kwa sababu Ali mwaga mbegu nje Bali aliuawa kwasababu hakutii maagizo ya Mungu kumzalia nduguye watoto kupitia Mke wa nduguye,lakini unapo mwaga nje kwa mkeo inakuwa ni kwaajili ya starehe,kwasababu siyo kila unapo sex na mkeo inakuwa nia ni kupata watoto,msikariri misitari ya bibilia elewa kwa nini aliuwawa.Dhambi kubwa sana hiyo ndugu na usirudie tena kufanya hivyo: Soma hapa chini:-
[h=3]BIBLIA: KITABU CHA MWANZOMlango 38:9 - 10[/h]1 Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.
2 Yuda akaona huko binti wa mtu Mkanaani, jina lake Shua. Akamtwaa, akaingia kwake.
3 Naye akapata mimba, akazaa mwana, akamwita jina lake Eri.
4 Akapata mimba tena, akazaa mwana, akamwita jina lake Onani.
5 Akaendelea, akazaa tena mwana mwingine, akamwita jina lake Shela. Naye Yuda alikuwako huko Kezibu, alipomzaa.
6 Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.
7 Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; na Bwana akamwua.
8 Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.
9 Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.
10 Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamwua yeye naye.
Umemjibu vema hizo injili poli kabisa. Inamaana kila mbegubinatakiwa kurutubisha? Je mkeo anapokua mjamzito na bado mnakutana for sex unadhani zile mbegu zinaenda wapi kama si chooni?? Tusijitow ufahamu kutumia maandiko vby. Mungu wetu ameturuhusu kutumia akili zetu vizuri ametuzuia tu kuzitumainia badala ya kumtumaini yy.Haya mandiko misiwe mnakariri aliuwawa siyo kwa sababu Ali mwaga mbegu nje Bali aliuawa kwasababu hakutii maagizo ya Mungu kumzalia nduguye watoto kupitia Mke wa nduguye,lakini unapo mwaga nje kwa mkeo inakuwa ni kwaajili ya starehe,kwasababu siyo kila unapo sex na mkeo inakuwa nia ni kupata watoto,msikariri misitari ya bibilia elewa kwa nini aliuwawa.