stongwomang
Member
- Dec 1, 2014
- 33
- 3
Yeah nakubaliana na mtoa mada lakini na wadada tuna matatizo ukishafanyiwa hivyo jifunze no sex till ur sure that you are in a committed relationship huo woga was et ooh nisipompa atanuacha atafata mwingine wangapi ulowatolea nguo na wamekuachia maumivu makubwa?tafakari na uchukue hatua.