benazirjosemarie
JF-Expert Member
- Dec 22, 2021
- 279
- 502
Dini ni kwa ajili ya maskini na wapumbavuNi mateka.
Eti kuna bahasha mpaka ya million kumi kwa Kuhani wao. Na wajinga wengine wanauza nyumba ili watoe wakitegemea kupata pesa za miujiza
Dini ni kwa ajili ya maskini na wapumbavuNi mateka.
Eti kuna bahasha mpaka ya million kumi kwa Kuhani wao. Na wajinga wengine wanauza nyumba ili watoe wakitegemea kupata pesa za miujiza
Mkibosho huyoHata 2,000 sitoi, hawa wachungaji wa uongo wanatuharibia imani.
Huyu mchaga mwizi kabisa
Acha uongo weweMkuu, Imani yangu ni level za juu, siongei kwa hisia Nina nguvu za Rohoni...
Naweza kuona kuwa huyu ni Nabii feki au sio...
Hata wewe tukikutana na wewe nakujua mpaka ukoo wako...
Huna mamlaka ya kumuita mtu Wakala wa Ibilisi wakati hujapima Roho kwa njia ya Roho Mtakatifu
Consultation fee hiyoHakuna sadaka ya kutajiwa kiwango. Yani lakini mbili iwe sadaka.
Mi namuamini Yesu, walioruhusu shauri yao watajua wenyewea
Anglicana sindo wale wameruhusu naniliu
Unakaribia kuchanganyikiwa jiangalie sana dada.Za Rohoni au za Roho Mtakatifu...
Ni na macho ya Rohoni pia...
Hii ndio maana ya kukua kiroho...
Bwana YESU atukuzwe
Acha nisali nilale
Huyo fala sanaMkibosho huyo
Nipo vyema..Unakaribia kuchanganyikiwa jiangalie sana dada.
Nilipita hapo wiki iliyopita ana eneo kubwa sana .Ndio ninatumia kwa jina la YESU...
Maana kama huna Imani havikusaidii
Hakuna tofauti na fungu la kumi, ni majina tu yamebadilika. Ni sawa na riba na ile nyingine ya Islamic banking. Wote wanataka faidaConsultation fee hiyo
Ova
Hiyo ndio Bei ya Malaya wa kidimbwi na UTI unapewa bure.Laki mbili kupiga ramli tu?
ebwana ndio.
Shuhuda au kuchanganyikiwa na umasikini? Ushawahi kuona matajiri kwenye hivyo vikao vyenu? Wamejaa mafukara tu huko kwenda kuwachangia sadaka manabiiTena hao wa makobazi ndio walio na Imani na Yesu, na wanatoa shuhuda hatare
Kaliongeza kwa kumnunua mshkaji kwa 500 M cash.Nilipita hapo wiki iliyopita ana eneo kubwa sana .
Uwapige kwa sababu gani? Wakati pesa unapeleka wewe mwenyewe kwa utahira wako? Maana hulazimishwiAiseee hivi hawa wapuuzi tumeshindwa kuwatupia mawe mpaka wafe?
Bilblia imeagiza wapigwe
mtume wa mwisho wa ukweli kutumwa na Mungu ni Muhammad Sw. Hizi ndo zile zama za mwisho zilizotabiliwa ooh God have mercy upon us😭😭Kabla ya kumpinga Nabii acha hisia na maneno ya watu acha mazoea na kukariri..
Manabii wa kweli wapo na wa uongo wapo.
Jukumu ni lako kuomba mwalimu Roho Mtakatifu akujulishe na atakujulisha kuwa Nabii ni wa kweli ama sio wa kweli...
Huna tofauti na kipofu mwombaji...mtume wa mwisho wa ukweli kutumwa na Mungu ni Muhammad Sw. Hizi ndo zile zama za mwisho zilizotabiliwa ooh God have mercy upon us
Mungu awasamehe tu sidhan kam ni nabii kwel angechukua ela au kueka pesa kipaumbele cha kupata huduma. mm sio mtu wa kanisa sana lakn haya mambo kwakwel hpn ndugu zang mnapotea tumuamini yeye mmoja alie hai Mwenyez Mungu aliejuu bs.Huna tofauti na kipofu mwombaji...