Ukiona mbwa mwitu anamtetea kondoo tunasema ni mbinu yake kwenye kutafuta chakula. But ukiona kondoo anatetea mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo kuna mawili huyu kondoo hajajua kuwa anatetea kiumbe anaemdhuru sababu kajificha kwenye ngozi au ni basi kaamua kukubali kuliwa so anatetea upumbavu wake.
Ukiona mbwa mwitu anamtetea kondoo tunasema ni mbinu yake kwenye kutafuta chakula. But ukiona kondoo anatetea mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo kuna mawili huyu kondoo hajajua kuwa anatetea kiumbe anaemdhuru sababu kajificha kwenye ngozi au ni basi kaamua kukubali kuliwa so anatetea upumbavu wake.
Yeah naelewa lakini dada hawa wasomi hupenda wavulana wasomi pia....ni ngumu kupata msichana aliye na elimu yake kaolewa na jamaa wa maskani asiye na elimu