Kumuita Kikwete Dr. sio "kuchakachua" usomi?

Kumuita Kikwete Dr. sio "kuchakachua" usomi?

Andrew Rweikiza

New Member
Joined
Sep 10, 2009
Posts
4
Reaction score
0
Katika siku za karibuni utambulisho wa JK kuitwa Dr umepamba moto hasa kupitia TBC1. Kila nikisikiliza taarifa utasikia Dr. Kikwete kafanya hiki, mara kile..Binafsi naona huu ni uchakachuaji wa elimu. Nia hasa ya vyombo hivyo vya propaganda ni kutaka kufananisha usomi wa mgombea wa chama fulani (ambaye ni PhD holder) na wa Kikwete. Binafsi sifurahii sana kusikia mtu aliyepewa heshima tu, kwa sababu zinazojulikana kwa Wakenya waliompa, akijinadi kwa kujiita Dr. In fact, it doesn't sound well! Tusome jamani!:A S angry::glasses-nerdy:
 
Waliamua kumuita hivyo ili kuwachanganya wananchi wa kawaida.... ambao hawataweza kutofautisha udokta wa Kikwete (wa kupewa tu) na udokta wa Slaa (wa kusomea na kupass mtihani).
 
Waliamua kumuita hivyo ili kuwachanganya wananchi wa kawaida.... ambao hawataweza kutofautisha udokta wa Kikwete (wa kupewa tu) na udokta wa Slaa (wa kusomea na kupass mtihani).

:whistle:
 
waliamua kumuita hivyo ili kuwachanganya wananchi wa kawaida.... Ambao hawataweza kutofautisha udokta wa kikwete (wa kupewa tu) na udokta wa slaa (wa kusomea na kupass mtihani).

udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi
 
hivi ni wakenya au kanisa katoliki huko marekani ndio lililompa hadhi/nishani hiyo?
kwa vyovyote ile ni sahihi kabisa mkuu kuitwa vile hata hivyo naungana nawe katika hili kwa maana hata tcu walitahadharisha baadhi ya taasisi kutoa nishani bila kuangalia utendaji wa mhusika. kwa upande wa utendaji wa jk bado binafsi sijaona cha sana.
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

hata form 6 wa kizazi hiki cha dot com ni wasomi kushinda yeye... Simply slaa ni kilaza
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

naona ulikufanyia huu ubunifu chumbani ndo maana peke yako unaujua ubunifu wake
 
hata form 6 wa kizazi hiki cha dot com ni wasomi kushinda yeye... Simply slaa ni kilaza

Kilaza kama ulivo wewe jitu zima unaweka avatar mtu anakojoa..shame..
 
Kilaza kama ulivo wewe jitu zima unaweka avatar mtu anakojoa..shame..

Achana naye mkuu anajifurahisha tu. Anadhani hiyo avatar itamfanya baba yao mwisrael a give in zaidi ya kuendelea kuwadunda?
 
Kilaza kama ulivo wewe jitu zima unaweka avatar mtu anakojoa..shame..

HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .
 
Achana naye mkuu anajifurahisha tu. Anadhani hiyo avatar itamfanya baba yao mwisrael a give in zaidi ya kuendelea kuwadunda?

kanitibua sana huyu...asante kiongozi kwa muongozo
 
Njiwa what do you mean impossible? tatizo umefunikwa blanketi la ufisadi, you can't see beyond ccm!
 
HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .


It is impossible kusomesha wananchi bure nchi nzima,!!!! LAKINI is possible kubandika mabango ya matangazo ya sura yake yanayogharimu mabillion nchi nzima!!! Nani Kilaza hapo kati ya hao wawili??? Toa jibu , ukishindwa kutoa jibu rahisi kama hilo basi nawewe ni kilaza zaidi ya huyo bosi wako Mr. Kikwete
 
hata form 6 wa kizazi hiki cha dot com ni wasomi kushinda yeye... Simply slaa ni kilaza
Anything to backup your claims!
Usipotoa ushahidi, tutahesabu una kapu la chuki. Kumwita Kikwete Dr. sio issue, ila vyombo vya habari sometimes...vina mislead purposely!
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Hujui lolote! Mapadre wanakula kitabu ile mbaya ila kwa vile hujui kitu ni kama usiku wa giza!
 
HAHA HIYO PICHA SI MTU ANGALIA TENA... NI KIKARAGOSI KINAKOJOLEA TAIFA LA VILAZA, alafu mimi siye niliyetoa ahadi ya kusomesha BURE

Of the 750 Nobel Prizes awarded worldwide between 1901 and 2007, at least 162 were awarded to Jews. While Jews are approximately 0.25% of the world's population, Jews make up approximately 22% of all Nobel Prize laureates worldwide.
Also: Note that half the world Chess Champions were either born Jewish or had Jewish mothers. Israel produces more scientific papers per capita than any other nation by a large margin - 109 per 10,000 people -- as well as one of the highest per capita rates of patents filed.
Source
Hapa kuna bias fulani tu uliyo nayo. Sio bure. Hawa jamaa sio vilaza!
List ni ndefu mno, kama bado unabisha gonga hapa uone reaserch za watu wanaofanya tafiti na sio kuropoka tu!
Swali la mwisho, Albert Einstein alikuwa kilaza?

yaani elimu bure kuanzia nursery school hadi Uni.. tatizo slaa anafkiri wa tz woote ni vilaza kama yeye tunaweza kuamini ahadi kama hizo ! mathematically hiyo kitu ni impossible katika nchi yenye watu million 40 .
Ninavyofahamu (ruksa kunirekebisha), najua Slaa amesema mpaka form 6 sio uni! Na ningpenda kujua Phd ya Slaa ni ya nini?
Thanks
 
udaktari wa slaa ni sawa na form 6....wa kutoa sacramenti....na kufungisha ndoa....hamna kitu hapa.....udaktari wa kikwete ni wa heshima baada ya kufanya ubunifu mwingi kwa maendeleo ya watanzania...
Hata phd ni reseach work tu.....sasa kama umefanya mengi kwa ubunifu basi unastahili phd...uelewa wake ni zaidi ya aliekwenda chuo kikuu.
Wacheni wivu...jamaa ni zaidi na zaidi

Na wewe ni great thinker????

Hukumtendea haki unayemtetea.....yaani ni ujuha mtupu? unaposema ana uelewa zaidi ya aliyekwenda chuo kikuu kwani JK hakwenda chuo kikuu????

Na Phd ya Dk Slaa ni ya kufungisha ndoa????....yaani umegeuza hapa JF ni kule kijijini kwenu mnakowadanganya wananchi walioishia Darasa la pili wakaachishwa ili walime na kuolewa????????

Hapa unawaandikia wajuzi....acha mvuke!!!!
 
He is a national SHAME..Inashangaza hakemei hili na anakenua tu..kuonesha anafurahia :jaw:
 
Back
Top Bottom