tompoo
Member
- Jan 2, 2021
- 42
- 25
Wakuu mnaendeleaje na majukumu ya ujenzi wa Taifa?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kuwa huyu kiumbe muda sometymz ni ngumu kinoma noma, basi bana kunaye demu mmoja hivi tulianza kama marafiki af badaye nikaja kumuelekeza ni jinsi gani namuelewa kimapenzi ikiwemo uzuri wake na nini.
Kilichotokea demu akawa ananitolea nje bana mara ningefanya hivo sema nina mshikaji wangu na mambo mengine kibao basi nikaamua kujiweka kando lakini kadri time inavyozidi kwenda coz bado tunaongea daily vizuri tu, naona demu ana wivu na mimi mfano akinichek naongea na manzi mwingine basi anawaka kishenzi na ikipita time bila kumjulia hali anawaza sana na kama ni nyimbo za mapenzi anan~dedicate sana tu.
Sasa kwa wajuzi wa mambo naomba tusaidiane hapa huyu demu nimuelewe vipi?
Nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kuwa huyu kiumbe muda sometymz ni ngumu kinoma noma, basi bana kunaye demu mmoja hivi tulianza kama marafiki af badaye nikaja kumuelekeza ni jinsi gani namuelewa kimapenzi ikiwemo uzuri wake na nini.
Kilichotokea demu akawa ananitolea nje bana mara ningefanya hivo sema nina mshikaji wangu na mambo mengine kibao basi nikaamua kujiweka kando lakini kadri time inavyozidi kwenda coz bado tunaongea daily vizuri tu, naona demu ana wivu na mimi mfano akinichek naongea na manzi mwingine basi anawaka kishenzi na ikipita time bila kumjulia hali anawaza sana na kama ni nyimbo za mapenzi anan~dedicate sana tu.
Sasa kwa wajuzi wa mambo naomba tusaidiane hapa huyu demu nimuelewe vipi?
Nawasilisha.