Kumtongoza mwalimu wako.

Kwani wewe unamtaka reject au asiye reject? Usirushe ngumi lakini
Aliekataliwa na wengine!!!
Mwenye moja ya vigezo vifuatavyo atapewa kipaumbele zaidi...
1. Kibamia chini ya inchi 4
2. Naniliu haisimami
3. Hana naniliu kabisa
4. Domo zege
 
Aliekataliwa na wengine!!!
Mwenye moja ya vigezo vifuatavyo atapewa kipaumbele zaidi...
1. Kibamia chini ya inchi 4
2. Naniliu haisimami
3. Hana naniliu kabisa
umeniudhi ila imebidi nicheke kwa sauti tu mana amna namna nyingine
 
Aliekataliwa na wengine!!!
Mwenye moja ya vigezo vifuatavyo atapewa kipaumbele zaidi...
1. Kibamia chini ya inchi 4
2. Naniliu haisimami
3. Hana naniliu kabisa
4. Domo zege
Hahahaha.
Kigezo namba 1 na 4 nimefuzu. Kipaumbele chako tafwazali
 
Mi najua sifa ya nnayemtafuta... Haujafuzu bado...
Aisee, uko sahihi hapa. Ujue mara zote ninayemtaka huwa siwezi kumwambia!
Yawezekana wewe siye ndo maana nimetoa zege domoni mwangu halafu wewe ukawa wa kwanza kunikatalia. Ooooh, my God! Nimeshakuwa reject hapa. Anyways, I'm not alone and many more are yet to come.
 
Hakuna kutongozana kati ya mwalimu na mwanafunzi... Chanzo na sababu kubwa ni mazoea yaliyopitiliza na ukaribu wa ki-hasara hasara, na utani unaoashiria matamanio, ndiyo hushawishi hayo yote...



Cc: mahondaw

Smart911 love Kesi nyingi ni za walimu wa kiume kutongoza wanafunzi wakike.. Tena sikuhizi ndo janga kubwa sana ee mungu nusuru kizazi hiki
 
Hakuna kutongozana kati ya mwalimu na mwanafunzi... Chanzo na sababu kubwa ni mazoea yaliyopitiliza na ukaribu wa ki-hasara hasara, na utani unaoashiria matamanio, ndiyo hushawishi hayo yote...



Cc: mahondaw

Smart911 love Kesi nyingi ni za walimu wa kiume kutongoza wanafunzi wakike.. Tena sikuhizi ndo janga kubwa sana ee mungu nusuru kizazi hiki
 
kweli mkuu...ni tukio lililonipa funzo la maisha kwani baadae niliweza kuepuka mitego mingi chuoni..
 
Umekosea mkuu,sijawahi na nilishapita umri wa kuwa mikononi kwa walimu.Its just that naona kama ni kupungukiwa maadili kulikopitiliza kumtongoza/kufanya mapenzi na mwalimu kama baadhi wanavyojisema humu.
Kuwa na Amani Mkuu!

Hongera kwa hilo.
 
Nilipokuwa nafanya mtihani wa hesabu "maths" form four ilitokea kumpenda sana msimamizi wa kike kiasi formula zote zilipotea kichwani alipokuja kuuliza kulikoni! Nilimjibu samahani nimekumind sana akasema usijali wewe maliza kwanza mtihani, formula zilishuka na niliata A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…