Good morning wapendwa,,,
Naombeni msaada wa kisheria katika Hili. Kuna mtu nimekutana nae na kufahamiana nae. Elimu yake ni ngazi ya diploma(uhasibu) lakini ufaulu wake KIDATO Cha nne ni daraja la nne pointi 28.
Matokeo haya yanajumuisha "F" ya hesabu. Pamoja na matokeo hayo, Bado hawezi kuzungumza na kuandika Kwa lugha ya kiingereza. Nimekuta na maswali mengi kuhusu ufaulu wake chuoni Hadi kupata cheti Cha diploma.
Ikiwa lugha ya kufundisha ni kiingereza na mitihani hutungwa Kwa lugha ya kiingereza, alifaulu Kwa miujiza gani? Nahitaji msaada wa kisheria, kama naweza kumshitaki yeye pamoja na chuo kilichomthibitisha kuhitimu Kwa ngazi hiyo.
Naombeni msaada wa kisheria katika Hili. Kuna mtu nimekutana nae na kufahamiana nae. Elimu yake ni ngazi ya diploma(uhasibu) lakini ufaulu wake KIDATO Cha nne ni daraja la nne pointi 28.
Matokeo haya yanajumuisha "F" ya hesabu. Pamoja na matokeo hayo, Bado hawezi kuzungumza na kuandika Kwa lugha ya kiingereza. Nimekuta na maswali mengi kuhusu ufaulu wake chuoni Hadi kupata cheti Cha diploma.
Ikiwa lugha ya kufundisha ni kiingereza na mitihani hutungwa Kwa lugha ya kiingereza, alifaulu Kwa miujiza gani? Nahitaji msaada wa kisheria, kama naweza kumshitaki yeye pamoja na chuo kilichomthibitisha kuhitimu Kwa ngazi hiyo.