Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Unaona ni sifa kutumia kanisa kama mwamvuli wa wewe na uyo mwenzako ili mfanye uasherati wenu!!?.
Maelezo yako yanaonesha wewe na huyo mwenzako hamkua na dhamila ya kweli kwenda kwenye hiyo ibada ya tofauti na kanisani kwenu bali hulka ya uasherati ndio ilio wapeleka huko.
Mwisho unataka ushauri wa nini wakati ameisha kwambia hapendi kushikwa.?.
Pia kwa tabia yake hii ya kutopenda kushikwa, anza kujiandaa kumgegeda kwa njia ya Bluetooth.
Sio kweli kanisani ni sehemu moja wapo ya kukutana na mpenzi wako.
Usikariri formula za maisha.