apologize
JF-Expert Member
- Jul 22, 2015
- 709
- 570
Habari wakuu,
Kuna kitu leo kimenishitua kidogo kuna binti mmoja tuko naye mtaa mmoja na tunaabudu Kanisa moja kuonana kwetu huwa ni kanisani japo tulikuwa tunaangaliana tu hakuna mtu aliyekuwa anaenda kumpa salam mwezake,lakini sura zetu wote zilionesha shauku ya kila mtu kutaka kuongea na mwezake.
Sasa jumapili iliyopita tuliweza kuongozana wote kurudi nyumbani lakini tulikuwa watatu na kila mmoja alifurahi yaani ndo ilikuwa siku ya 1 kuongea naye,pia leo jumapili baada ya ibada tulikuwa tunatakiwa twende kwenye ibada nyingine tofauti na Kanisa letu akaniuliza utaenda nikamjibu ndio nikamuomba anipitie home akakubali.
Kweli badae akapita na tuanza kwenda huku tukioneshara ishara za mapenzi, nikaona nimtongoze akaniambia nimpe wiki mbili ndo atanijbu, sasa cha ajabu wakati tunarudi home nikajaribu kumbembeleza apunguze hizo wiki mbili huku nikijaribu kumshika mkono akawa mkali ghafla akasema hapendwi kushikwa.
Wanajamvi naomba ushauri, maana hapa mwanzo wakati kaja kunipitia tulikaa ziro distance na nilikuwa namshika mkono kawaida.
Kuna kitu leo kimenishitua kidogo kuna binti mmoja tuko naye mtaa mmoja na tunaabudu Kanisa moja kuonana kwetu huwa ni kanisani japo tulikuwa tunaangaliana tu hakuna mtu aliyekuwa anaenda kumpa salam mwezake,lakini sura zetu wote zilionesha shauku ya kila mtu kutaka kuongea na mwezake.
Sasa jumapili iliyopita tuliweza kuongozana wote kurudi nyumbani lakini tulikuwa watatu na kila mmoja alifurahi yaani ndo ilikuwa siku ya 1 kuongea naye,pia leo jumapili baada ya ibada tulikuwa tunatakiwa twende kwenye ibada nyingine tofauti na Kanisa letu akaniuliza utaenda nikamjibu ndio nikamuomba anipitie home akakubali.
Kweli badae akapita na tuanza kwenda huku tukioneshara ishara za mapenzi, nikaona nimtongoze akaniambia nimpe wiki mbili ndo atanijbu, sasa cha ajabu wakati tunarudi home nikajaribu kumbembeleza apunguze hizo wiki mbili huku nikijaribu kumshika mkono akawa mkali ghafla akasema hapendwi kushikwa.
Wanajamvi naomba ushauri, maana hapa mwanzo wakati kaja kunipitia tulikaa ziro distance na nilikuwa namshika mkono kawaida.