RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,038
- 505
Kwa nilichopost asubuhi ya leo mida ya saa nne,
Kwa ambao hawakusoma taarifa hiyo na waliosoma ila hawana kumbukumbu itoshe kusema kwamba haipaswi hata kujua.
Haikuwa rahisi kudhani kuwa ni uzushi kwa kuwa niliitoa katika chanzo ambacho usingedhani kama wanaweza kuandika taarifa isiyokuwa na uhakika.
Wanajamvi, moderators na wote mlioathirika na ujumbe ule, Niwieni radhi sana.
Kwa ambao hawakusoma taarifa hiyo na waliosoma ila hawana kumbukumbu itoshe kusema kwamba haipaswi hata kujua.
Haikuwa rahisi kudhani kuwa ni uzushi kwa kuwa niliitoa katika chanzo ambacho usingedhani kama wanaweza kuandika taarifa isiyokuwa na uhakika.
Wanajamvi, moderators na wote mlioathirika na ujumbe ule, Niwieni radhi sana.