Kumpitisha Ole Sabaya hata Mbingu itakasirika

Kumpitisha Ole Sabaya hata Mbingu itakasirika

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
3,192
Reaction score
7,108
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Akisema ahamie CHADEMA anageuka malaika hapohapo.
 
Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Kwa nchi za wenzetu hao walikuwa wanatumikia kifungo Cha maishà jela au wangekuwa wameshanyongwa🤔..
Wote mkatili na hawafai kuwa viongozi wa wananchi maskini km WATANZANIA..
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Hii paragrafu ya Mwisho wewe umetisha
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Makonda ana hofu gani ya Mungu? Wote hao na Sabaya ilibidi wawepo gerezani
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Wote wawili hawafai tupa kule walipaswa kuwa jela ni basi tu mifumo mibovu ya kuleana masisiemu ila ipo siku mwenye haki ataingilia kati
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Makonda na Sabaya sijui tunakosea wapi kuona wanafaa!
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Dharau za kipindi kile sababu juu yake alikuwepo mtu aliekuwa aki support hayo matendo

Sasa huyo mtu hayupo, hatoweza kuionyesha tena
Pluse kukaa mahabusu muda mrefu pameweka akili sawa, ujinga hatorudia
 
Kwaiyo Makonda ana hofu ya mungu
1751230849456.jpg
 
Nakusapoti asilimia 100. Ni mtu ambaye ana makando kando mengi na sifa yake mbele ya jamii haikubaliki kuhusiana na historia yake.
 
Kwa utawala huu wa ccm wala usishangae!
Na kuhusu "mbingu" kukasirika CCM hawana habari kabisa na "Mbingu" mkuu
 
Hao ndio ccm inawataka SI ajabu akawa waziri then mbeleni waziri mkuu
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Sasa kwani huko umasaini hakuna kamati za Nidhamu ?
Kama zipo kwanini asishughulikiwe kimila.
 
Kiukweli kipindi huyu kijana akiwa mkuu wa wilaya alionyesha Kiburi kikubwa sana. Utendaji wa kibabe, Mabavu, jeuri na dharau .
Sitasahau siku aliyomuonyesha dharau ya wazi yule Mama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Inawezekana anavebwa na influence ya Baba yake ambaye ni kati ya viongozi wa chama mkoa wa Arusha lakini iwapo watalazimisha basi Mungu wa Mbinguni atasimama penye haki yake.

Sabaya ni tofauti sana na Makonda. Makonda ana ubabe lakini ubabe wake ni kwenye kazi, makonda anapenda haki pia ana hofu ya Mungu hasa. Tofauti na huyu Masai jamaa amejaa kiburi na jeuri sana.
Wote viburi mwanzo, mwisho. Zingatia/kumbuka kauli ya Makonda kuwa "mimi sio size yenu." Alijigamba wazi wazi. Alimdharau hadi PM.
 
Back
Top Bottom