Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

Nakubaliana na wewe kabisaaaa...huwezi kupenda pasipo kumwamini mtu na upendo ni zao la imani. Nisipomwamini hakuna jinsi naweza kumpenda...nitakuwa nadanganya tu wakati simanishi
Huwezi kupenda pasipo kumwamini umpendaye...upendo wenyewe tu kwa lugha nyingine ni matokeo ya imani...
 
umeonaaaaaa eeeee bora uwe kama mimi tu hata likitokea hauumii sanaaaaaa

Matokeo mengi ya ubaya katika mapenzi ni imani juu ya watu zao....sasa wakigundua kuwa aliyeaminiwa haaminiki bhaaaaaaaasssiii ndo balaa linapotokea.
 
Amu jitahidi kukaba,mi mwenyewe nina tatizo kama hilo,wakwangu ana hofu ila najua nikimuachia ni hatari nimejitahidi kukaba kwahiyo kidogo anaogopa,ila huwezi kumuamini asilimia 100 umpendae utakuwa humpendi wivu kidogo Muhimu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
aiseeee, hila hapo unaonesha kuna sababu zinazo kufanya ushindwe kumuanini lakini sidhani kama umuamini kabisa sema umuamini sana kama unavyo mpenda sana.

hila swala la kuamini mtu inategemea ntu na ntu.
 
ha ha ha ha acha hizo bana due to some issues tulizokumbana nazo tunajikuta tunapenda ila no kumuamini

Basi hayo si mapenzi bali ni maigizo tu
 
Inawezekana ukampenda mtu lakini haumwamini. Mfano mtu akiwa kicheche lakini we unampenda hivyo huwezi kumwamini. Cha kufanya ni kutomfuatilia sana ili kupunguza maumivu ya moyo.
 
Humwamini mtu atababa yako humwamini? kama hakuna uaminifu basi wewe ni mzigo mzito, tegemea kugombana na watu, tegemea kugombana na majerani. unajitengenezea kaburi yako wewe mwenyewe samaani kwa kusema hivi ila ndo ukweli. kama uaminifu haupo, utaishi kwa mashaka miaka nenda miaka rudi matokeo yake. presure itapanda na ipo siku utazima ghafla.

my advice is better you start trusting people if you don't trust others others will not trust you. sasa itakua ni maisha ghani. jifunze kuamini watu.
 
ndiyo sababu ya kutokosa uaminifu hadi leo?
naomba nikuulize swali kutokana na thread yako hivi unaweza ukawa na akili nyingi halafu huna kumbukumbu is this possible?
 
hivi umenielewa bibie???
amu mpenzi nimekuelewa sana bimdogo! Wala usiwe na shaka!
Mapenzi ya siku hizi ni hadaa tuu! Huo ukweli wa kulove na kutrust au kutotrust hamnaga siku hizi! Ila ndo nakwambia ukitaka faidi.....sanii!

Sent from my famous TCCL!
 
Last edited by a moderator:

Inaweza tokea hii kitu..what u need to do ni kumsoma na ku build trust kwake hata kwa nukta tu. Maana km umempenda kweli kiasi cha kumuonea wivu halafu u dont trust him itakusumbua sana....Mwisho wa siku FOLLOW YOUR HEART.
 
Marafiki hivi inakuaje you love someone deeply but you don't trust him/her.

It happen ila sijui ni uongo tu, sijui kuna mapenzi....
mi haniamini wala simwamini kama mchezo wa paka na panya tu
wizi mtupu!!!!!!!!!!
 
Reactions: amu
Nilishawahi kupenda nakumwamini mtu niliambulia mavi mabichi yanayotoa moshi???haya mambo yaacheni tu usipende kuyachunguza hutaoa wala kuolewa au presha na vidonda vya tumbo havitakukauka!!!
Please let bygones be bygones
 
Reactions: amu
The foundation of true love is trust.. Destroy that foundation and you destroy your love.. When you do so there is rarely redemption – there is rarely ever reconciliation.. Never forget this simple truth – there is character in the best loving relationships.. Practice good character and your love will not only survive, it will thrive..

By Dr. Charles D. Schmitz and Dr. Elizabeth A. Schmitz..
 
The foundation of true love is trust.. Destroy that foundation and you destroy your love.. When you do so there is rarely redemption – there is rarely ever reconciliation.. Never forget this simple truth – there is character in the best loving relationships.. Practice good character and your love will not only survive, it will thrive..

By Dr. Charles D. Schmitz and Dr. Elizabeth A. Schmitz..
 
Hii kitu huwa naiskia sana kwa wakina dada...kwangu ni ngumu ku-fathom!!!


Nakupenda lakini sikuamini!?? a a..

Auuuu...ulishawahi kumfumania mahali!???
 
Hii kweli shughuli pevu kama unampenda mtu halaf humwamin,jaribu kuchunguza ni kitu gan kinakufanya usimwamin na ukishagundua basi tengeneza mazingira ya ww kumwamin.
 
Usipokuwa umelewa unakuwa na mapweint kama nini

Mtu unayempenda unamwamini 101%

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…