tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
Pole yao hahaha ndio mana kijitu kiko 20 lkn utadhani 40 alivyochakazwa na kila aina ya ....Mbona siku hizi nyapu mtaani ni cheap aisee hautumii hata nguvu nyingi.
Pole yao hahaha ndio mana kijitu kiko 20 lkn utadhani 40 alivyochakazwa na kila aina ya ....Mbona siku hizi nyapu mtaani ni cheap aisee hautumii hata nguvu nyingi.
True datMbona kakupa kirahisi hivyo duuuh
Watu papuchi zao wanaziona km mkono tu...muda wowote unampa mtu aushike..
Sijui lengo lke ni nini..huenda akawa ze next wife material...au nae anakudangia tu...
Endelea kumsoma mwema oa...si kila single maza ni kicheche inatokeaga tu bht mbaya akazalishwa
unapumulia hela za urithi?Umezidi kidogo ubonge mkuu ungekuwa Modo ningekwambia unitafute kuna mpemba wiki ijayo anatuingizia pesa yetu tumeuza nyumba yetu ya urisi ilala nipo vzr kuanzia wiki ijayo kwa hiyo tukijifungia kwa rum huku tunatililika Jf sio mbaya.Au unaonaje kwa kuwa wiki ijayo hera inaingia ungenitafuta kesho pesa zitukute katikati ya safari
Yani kiufupi nipo vzr sana.bahati haiji mara 2 ujueunapumulia hela za urithi?
Hahahaha......Hongera mkuu mimi huwa napenda kitonga natamani ningekuwa mm
sina shida ya hela yaani niko vizuri zaidi yako.Yani kiufupi nipo vzr sana.bahati haiji mara 2 ujue
Acha kuwa na Mawazo ya Giza,Huyo aliona "Yes"!!...wacha niongeze janaume lingine maana linampenda kweli mtoto wa mwenzie, wacha wasaidiane matumizi. Anyway, point yangu ni kwamba mkuu hapo wewe ndio unaliwa, na utajikuta unasomesha huyo mtoto...akimaliza masomo mshahara wa kwanza atapeleka kwa baba yake mzazi kwa kumshukuru kumleta duniani. Full stop
Na mm sinaga mpango na mabonge bongesina shida ya hela yaani niko vizuri zaidi yako.
Fadhila tu na sio kingine, moyo sukuma damu usifanye kazi nyingineMbona kakupa kirahisi hivyo duuuh
Watu papuchi zao wanaziona km mkono tu...muda wowote unampa mtu aushike..
Sijui lengo lke ni nini..huenda akawa ze next wife material...au nae anakudangia tu...
Endelea kumsoma mwema oa...si kila single maza ni kicheche inatokeaga tu bht mbaya akazalishwa
Aise ndio maana naamini Tz hakuna njaa atakama ikitokea watu hawatajali maana kuna kitu wanakipenda sana zaidi ya msosi
Hahahaha.........Elimu bure.
Hiyo style alikufundisha nani?Nmewatafuna sana ma single mothers kwa stahili hiyo ya kuwapenda watoto wao sana actually napenda sana watoto. Mungu anisamehe tu.
sizitaki mbichi hiziNa mm sinaga mpango na mabonge bonge
Hahahahahah poa mkuusizitaki mbichi hizi
Sasa mkuu, kwa nini wewe hupenda Kitonga?Hongera mkuu mimi huwa napenda kitonga natamani ningekuwa mm
Sipendi kuhonga hongaSasa mkuu, kwa nini wewe hupenda Kitonga?
Tofali shikamoo Avatar yako inaniacha hoiMbona kakupa kirahisi hivyo duuuh
Watu papuchi zao wanaziona km mkono tu...muda wowote unampa mtu aushike..
Sijui lengo lke ni nini..huenda akawa ze next wife material...au nae anakudangia tu...
Endelea kumsoma mwema oa...si kila single maza ni kicheche inatokeaga tu bht mbaya akazalishwa
kwa hiyo hukumfanya?Nikweli kabisa mimwenyewe kuna single mother mji huu nimemsaidia mwanae alishindwa kwenda shule kwaajili ya ada nikajitolea kiroho safi mwezi uliopita matokeo yake mama mtu amejaa mazima kwamba kwakua hana cha kunilipa basi anipe pumziko nikamwambia hapana siku zote mpe asiyekupa ukimpa aliye kupa utakua hujampa bali umemlipa