Kumpenda dada wa ubatizo...

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,675
106,781
Hi there 👋👋
Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua anamajukumu makubwa kama au zaidi ya mzazi halisi wa kumlea (Kwa mujibu wa kununi za kikanisa)
Hivyo basi,
Familia hizo mbili hazipaswi kuozeshana watoto wao..(?) Maana zinakua zimeunganishwa kiimani/kiroho na kua familia moja..Hio ni kwa mujibu wa sheria za kikatoliki ambazo mlei/Muumini lazima uzifuate.

Sasa upendo nao hauna heshima maana hauchagui pakuota (Love grows like weeds). Hivi ikitokea umempenda mtoto wa mtu aliyemsimamia ubatizo wa wadogo au ndugu zako au mtoto wa aliyekusamamia ubatiz inakuaje???
Kanisa linaweza waruhusu Kweli??

Nimewaza tu maana ukiwa maskini unakua na ndugu weeengi hadi kero!!!
 
Hi there 👋👋
Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua anamajukumu makubwa kama au zaidi ya mzazi halisi wa kumlea (Kwa mujibu wa kununi za kikanisa)
Hivyo basi,
Familia hizo mbili hazipaswi kuozeshana watoto wao..(?) Maana zinakua zimeunganishwa kiimani/kiroho na kua familia moja..Hio ni kwa mujibu wa sheria za kikatoliki ambazo mlei/Muumini lazima uzifuate.

Sasa upendo nao hauna heshima maana hauchagui pakuota (Love grows like weeds). Hivi ikitokea umempenda mtoto wa mtu aliyemsimamia ubatizo wa wadogo au ndugu zako au mtoto wa aliyekusamamia ubatiz inakuaje???
Kanisa linaweza waruhusu Kweli??

Nimewaza tu maana ukiwa maskini unakua na ndugu weeengi hadi kero!!!
We sema ushamzimia huko
 
Hi there
Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua anamajukumu makubwa kama au zaidi ya mzazi halisi wa kumlea (Kwa mujibu wa kununi za kikanisa)
Hivyo basi,
Familia hizo mbili hazipaswi kuozeshana watoto wao..(?) Maana zinakua zimeunganishwa kiimani/kiroho na kua familia moja..Hio ni kwa mujibu wa sheria za kikatoliki ambazo mlei/Muumini lazima uzifuate.

Sasa upendo nao hauna heshima maana hauchagui pakuota (Love grows like weeds). Hivi ikitokea umempenda mtoto wa mtu aliyemsimamia ubatizo wa wadogo au ndugu zako au mtoto wa aliyekusamamia ubatiz inakuaje???
Kanisa linaweza waruhusu Kweli??

Nimewaza tu maana ukiwa maskini unakua na ndugu weeengi hadi kero!!!
Najua mtu ambaye siruhusiwi kumuoa ni yule ambaye tuna undugu wa damu tena wa karibu saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia inasemaje..? Kuhusu hilo tupe mistari

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mstari unaokataza hilo kwenye biblia. Lakini RC inaongozwa na Sheria kumi za Mungu na sita za Kanisa zote hizo kumi zinavunjwa na kua moja ambayo ni Utii. Kwa kutumia andiko linalosema "Mtakachofunga duniani kwa jina langu na mbinguni kitafungwa vice versa is true"

Ukishindwa kutii amri ambazo ninyi wenyewe mmejiwekea kama kanisa basi Sheria za Mungu hutaziweza maana huwezi kumtii Mungu usiyemuona wakatii humtii mwanadamu mwenzio.
 
Msichana wa kwanza ku-sex naye alikuwa mtoto wa damu wa baba yangu wa ubatizo. Nilishatubu.

Incest inahesabika kwa ndugu wa damu waliopo kwenye vizazi vitatu kutoka kwenu. Tofauti na hapo Mama Kanisa anaruhusu.

Kwahiyo ndugu wa ubatizo oa tu.
 
Hakuna mstari unaokataza hilo kwenye biblia. Lakini RC inaongozwa na Sheria kumi za Mungu na sita za Kanisa zote hizo kumi zinavunjwa na kua moja ambayo ni Utii. Kwa kutumia andiko linalosema "Mtakachofunga duniani kwa jina langu na mbinguni kitafungwa vice versa is true"

Ukishindwa kutii amri ambazo ninyi wenyewe mmejiwekea kama kanisa basi Sheria za Mungu hutaziweza maana huwezi kumtii Mungu usiyemuona wakatii humtii mwanadamu mwenzio.
Hivyo kumuoa huyo ni dhambi..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli nimekua muumini wa kanisa katoliki lakini kipengele hiki sikuwahi kukisikia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Observe.
Mara chache sana hua kinatajwa wakati wa ubatizo wa mtoto. (Kwenye mafundisho ya ubatizo kwa wazazi?)
Ila undugu utokanao na ubatizo hua unakolea kama undugu wa kweli.
Eg. Mwanamke aliyemsimamia bibi ubatizo mpaka leo watoto zake huitwa mjomba na baba zetu, Na baba zetu wanawaheshimu sana.
Eg2. Bibi alisimamia watoto fulani ubatizo wazazi wao mpaka sasa hawapo na wao washakua wamama wakubwa ila wanawaheshimu baba zetu kama kaka zao nasi tunawaita shangazi. Nilikua sijui chanzo cha undugu ndio nikaelezwa kua ni Ubatizo.
Eg 3. Rafiki angu baba yake alimsimamia mtoto wa rafiki yake Ubatizo yule mtoto alimchukua na kumsomesh huyu rafiki, siku zote naoana anamwita kaka na anakaa nae kumbe sio kaka wa damu.
 
It's not about me.
Nauliza maana mambo haya yapo kwenye jamii yanaweza kutokea kwa mtu yoyote yule. Je ikimtokea mtu uamuzi sahihi ni upi???
Since I'm not the victim
Mkuu acha kuhangaika na vitu viko wazi.

Watu wanatafuna dada zao tumbo moja wa kuzaliwa sembuse dada wa ubatizo?
 
FB_IMG_16288738174823061.jpg

Best watakua wanasikiliza wimbo gani?
 
Observe.
Mara chache sana hua kinatajwa wakati wa ubatizo wa mtoto. (Kwenye mafundisho ya ubatizo kwa wazazi?)
Ila undugu utokanao na ubatizo hua unakolea kama undugu wa kweli.
Eg. Mwanamke aliyemsimamia bibi ubatizo mpaka leo watoto zake huitwa mjomba na baba zetu, Na baba zetu wanawaheshimu sana.
Eg2. Bibi alisimamia watoto fulani ubatizo wazazi wao mpaka sasa hawapo na wao washakua wamama wakubwa ila wanawaheshimu baba zetu kama kaka zao nasi tunawaita shangazi. Nilikua sijui chanzo cha undugu ndio nikaelezwa kua ni Ubatizo.
Eg 3. Rafiki angu baba yake alimsimamia mtoto wa rafiki yake Ubatizo yule mtoto alimchukua na kumsomesh huyu rafiki, siku zote naoana anamwita kaka na anakaa nae kumbe sio kaka wa damu.
Basi Kama ni hivyo makatekista wa siku hizi Hawa lizangatii Hilo maana nimeshasimamia ubatizo Mara 7 hawakuwahi kuligusia Hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mpka leo kuna watu mnateseka na imani za kigeni kwenye mapenzi??? this is foolishness guys.....uo upumbv karne hii hautakiwi kuwepo..ukimpenda mtu just show your real love bila kujar iman yake, na kama nayeye kashikiria imani izo zakipuuzi mtoe kiakili kwenye ilo gereza la utumwa wa akili, then mfanye afeel free, kias kwamba hata kwao paswepo na kipingamiz, maana yeye nae akiwa na mindset kama za ndugu zake itakuwa ngum kumpata, asee mm nipate iyo chance mbona huyo atakubali tuu, na nitamfungisha ndoa ya mkeka adharan au ndowa ya kimila, maana izo tamaduni za kijinga kuzuiliana mpenzi kisa itikadi zakishamba, ni ujinga,,badrken, Mungu hana imani wala dini.
 
Hakuna kitu kinaitwa dada wa ubatizo. Dada ni yule aliezaliwa na mama yako tu. Hata baba yako akileta mtoto wa kike anaweza kuwa sio dada yako maana anaweza kuwa alisingiziwa mimba haikuwa yake.
 
Hakuna kitu kinaitwa dada wa ubatizo. Dada ni yule aliezaliwa na mama yako tu. Hata baba yako akileta mtoto wa kike anaweza kuwa sio dada yako maana anaweza kuwa alisingiziwa mimba haikuwa yake.
Watu mnamoyo mimi mtu nikiona hata kafanana jina au sura au kitu falani na dada yangu sithubutu hata kumtamani.
 
Hi there 👋👋
Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua anamajukumu makubwa kama au zaidi ya mzazi halisi wa kumlea (Kwa mujibu wa kununi za kikanisa)
Hivyo basi,
Familia hizo mbili hazipaswi kuozeshana watoto wao..(?) Maana zinakua zimeunganishwa kiimani/kiroho na kua familia moja..Hio ni kwa mujibu wa sheria za kikatoliki ambazo mlei/Muumini lazima uzifuate.

Sasa upendo nao hauna heshima maana hauchagui pakuota (Love grows like weeds). Hivi ikitokea umempenda mtoto wa mtu aliyemsimamia ubatizo wa wadogo au ndugu zako au mtoto wa aliyekusamamia ubatiz inakuaje???
Kanisa linaweza waruhusu Kweli??

Nimewaza tu maana ukiwa maskini unakua na ndugu weeengi hadi kero!!!
Sheria imeandikwa wapi haifai kuozeshana watoto?
 
Back
Top Bottom