miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
,
Hamna mtu mwenye 20m hapo. Kama kweli una 20m basi ungekuwa unaishi kwako au umepanga unakoishi peke yako. Hii ni post ya kupitisha mda tuJe mlishawahi kufanya hiki kitu? Nataka nimkopeshe baba mwenye nyumba pesa milioni 20, ambapo kila mwezi atarejesha 1000,000 kama riba kwa miezi mitatu.je imeekaaje wenzangu.hofu yangu naona kweny kudai hizo pesa baada ya muda kuisha,je kuna mtu anauzoefu na hii kitu?