FurahayaMoyo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 579
- 745
Hello JF,
Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea.
Ufahamu wa aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye uhalisia wake ni CHANZO HALISI (REAL SOURCE) alikuwa peke yake (MAHALI PAKE)kabla ya roho na nafsi yeyote, ndipo akasikia uumbaji ukimsifu ndani ya Moyo wake, akatamani uwe halisi Zaburi 98.Ndipo akaengua Moyo wake kushoto (Moyo wa mwanzo)na kuweka heshima na utajiri (vyote vya kuumbwa) mithali 3:16 Ili aviumbe viwe halisi ila yeye hakuingia ndani ya huo Moyo.
Moyo wa mwanzo akaanza uumbaji katika mwanzo 1:1. Hatua ya kwanza Alipotaka litokee kanisa (sio dini) akawaza akatokea Mwanamke (sio hawa mnaowajua) ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1. Huyu mwanamke ndie aliyeteka uumbaji ukafanyika chini yake ila sio kwa kusudi la CHANZO HALISI, freemason na wayahudi ndo wanamwita Sophia ila ni roho chipukizi iliyotokea baada ya Moyo wa mwanzo kushindwa kutekeleza alichokuwa amepewa.
Hatua ya pili Alipotaka zitokee sifa akatokea nyoka(hila) Ufunuo 12:3
Hatua ya tatu Alipotaka kuwepo amani ya Kila kitu ikatokea vita. Ufunuo 12:7
Hivyo mafaili yote ya viumbe vyote yaliwekwa katika huo Moyo wa mwanzo rejea Yeremia 1:5 na warumi 8:29 Ili viumbwe kwa uhalisia (muonekano) ila baada ya kutekwa na mwanamke ndio uumbaji ukawa unafanyika kwa amri na matakwa ya huyo ufunuo 12:1 (mwanamke). Ndo maana mchawi au mganga alikuwa anaweza kuona nyota yako na vitu ulivyokusudiwa kuwa navyo kabla hujazaliwa nakuviiba sababu wao ndiyo walikumiliki na kuwa katika yao. Isaya 26:13-18
Ilikuwa ni ngumu kuyajua haya pasipo kupata ufahamu ulio juu ya thiolojia ambapo ni kumjua Aliyeumba.
Ili utoke kwa huyo mmiliki Mhubiri 7:26.
Mungu wa freemason ambaye Dunia na ulimwengua unamuabudu kwa kujua au kutokujua unamkuta katika mistari ifuatayo 2korintho 4:4, yeremia 44:17-18, ufunuo 12:1, matendo 19:27 aliyepotosha fikra za wengi wasimjue aliyeumba.
Majira ya kanisa (sio dini) mwezi unasiku 28 ivyo mwaka unasiku 336 ila Dunia iliongeza siku ya 29,30 na 31, mwaka ukawa na siku 365 kukawa na ongezeko la mwezi mmoja.Ndo kalenda ya Gregory inayotumika Hadi Leo.Ndo maana katika mashirika na taasisi kubwa watu hulipwa mshahara wa mwezi wa 13 inapofika December.
Kanisa (sio dini) siku zake ziko kama ifuatavyo:-
Jumatano- Nuru Moja Halisi
Alhamisi- Akili Moja Halisi
Ijumaa- Thamani Moja Halisi
J/mosi- Majira Moja Halisi
J/pili- Moyo mmoja Halisi
J/tatu- Hatma Moja Halisi
J/nne- Kustareheshwa na CHANZO HALISI
Iliuyajue haya lazma upate ufahamu ambao upo juu ya thiolojia, elimu ya Dunia na ulimwengu.Haya yote ninayokwambia ni kwa sababu tupo katika ufalme mwengine kabisa ambao ni waaliyeumba.Ufalme hauji kwa kuchunguzwa 1petro 1:10, Kila aliyechunguza hakuwa na majibu sahihi kuanzia nabii paka mtume ndio maana na kumjua Mungu wa Kweli ni ufahamu mithali 9:10.
Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea.
Ufahamu wa aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye uhalisia wake ni CHANZO HALISI (REAL SOURCE) alikuwa peke yake (MAHALI PAKE)kabla ya roho na nafsi yeyote, ndipo akasikia uumbaji ukimsifu ndani ya Moyo wake, akatamani uwe halisi Zaburi 98.Ndipo akaengua Moyo wake kushoto (Moyo wa mwanzo)na kuweka heshima na utajiri (vyote vya kuumbwa) mithali 3:16 Ili aviumbe viwe halisi ila yeye hakuingia ndani ya huo Moyo.
Moyo wa mwanzo akaanza uumbaji katika mwanzo 1:1. Hatua ya kwanza Alipotaka litokee kanisa (sio dini) akawaza akatokea Mwanamke (sio hawa mnaowajua) ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1. Huyu mwanamke ndie aliyeteka uumbaji ukafanyika chini yake ila sio kwa kusudi la CHANZO HALISI, freemason na wayahudi ndo wanamwita Sophia ila ni roho chipukizi iliyotokea baada ya Moyo wa mwanzo kushindwa kutekeleza alichokuwa amepewa.
Hatua ya pili Alipotaka zitokee sifa akatokea nyoka(hila) Ufunuo 12:3
Hatua ya tatu Alipotaka kuwepo amani ya Kila kitu ikatokea vita. Ufunuo 12:7
Hivyo mafaili yote ya viumbe vyote yaliwekwa katika huo Moyo wa mwanzo rejea Yeremia 1:5 na warumi 8:29 Ili viumbwe kwa uhalisia (muonekano) ila baada ya kutekwa na mwanamke ndio uumbaji ukawa unafanyika kwa amri na matakwa ya huyo ufunuo 12:1 (mwanamke). Ndo maana mchawi au mganga alikuwa anaweza kuona nyota yako na vitu ulivyokusudiwa kuwa navyo kabla hujazaliwa nakuviiba sababu wao ndiyo walikumiliki na kuwa katika yao. Isaya 26:13-18
Ilikuwa ni ngumu kuyajua haya pasipo kupata ufahamu ulio juu ya thiolojia ambapo ni kumjua Aliyeumba.
Ili utoke kwa huyo mmiliki Mhubiri 7:26.
Mungu wa freemason ambaye Dunia na ulimwengua unamuabudu kwa kujua au kutokujua unamkuta katika mistari ifuatayo 2korintho 4:4, yeremia 44:17-18, ufunuo 12:1, matendo 19:27 aliyepotosha fikra za wengi wasimjue aliyeumba.
Majira ya kanisa (sio dini) mwezi unasiku 28 ivyo mwaka unasiku 336 ila Dunia iliongeza siku ya 29,30 na 31, mwaka ukawa na siku 365 kukawa na ongezeko la mwezi mmoja.Ndo kalenda ya Gregory inayotumika Hadi Leo.Ndo maana katika mashirika na taasisi kubwa watu hulipwa mshahara wa mwezi wa 13 inapofika December.
Kanisa (sio dini) siku zake ziko kama ifuatavyo:-
Jumatano- Nuru Moja Halisi
Alhamisi- Akili Moja Halisi
Ijumaa- Thamani Moja Halisi
J/mosi- Majira Moja Halisi
J/pili- Moyo mmoja Halisi
J/tatu- Hatma Moja Halisi
J/nne- Kustareheshwa na CHANZO HALISI
Iliuyajue haya lazma upate ufahamu ambao upo juu ya thiolojia, elimu ya Dunia na ulimwengu.Haya yote ninayokwambia ni kwa sababu tupo katika ufalme mwengine kabisa ambao ni waaliyeumba.Ufalme hauji kwa kuchunguzwa 1petro 1:10, Kila aliyechunguza hakuwa na majibu sahihi kuanzia nabii paka mtume ndio maana na kumjua Mungu wa Kweli ni ufahamu mithali 9:10.