Mtumie akirudi kula jichoWewe tuma tu arudi manzi arudi.
Mimi kuna mtoto wa mtu nilimlamba mpaka miguu lakini wapi hatukufika mbaliNimewaza kitu leo
Na nkaapia kua hiki kichwa kwa sasa kifikilie kijenga maendeleo yangu tu
Nmekuja kitambua hakuna kiumbe ambae hajieleww kama baadhi ya wadada aise!
Wanawake hawa hawa. Wa bongo dalisalama au?Mwanamke hataacha kuchepuka kwa sababu ya kujazwa mihela bali ataacha kuchepuka kwa sababu ya kupendwa kwa usahihi.Mimi huwa naamini kama mwanaume atampenda mwanamke kwa usahihi basi huyo mwanamke hatachepuka.Udhaifu wa mwanamke upo kwenye kupendwa.
Duuuuh kmmk hii safiKwa mwanamme kukaa na kuanza kuwaza kuwa mke wake anachepuka/atachepuka ni ulofa,tafuta pesa,ni ngumu sana kumwelewa mwanamke unataka nini,kuna watu walishaonesha upendo wa dhati kwa wake zao mwisho wa siku walisalitiwa,huwezi kumwelewa mwanamke.kikubwa tafuta pesa ,akichepuka fukuza oa mwingine
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi kuna mtoto wa mtu nilimlamba mpaka miguu lakini wapi hatukufika mbali
Mwanaume ni kutafuta pesa tu, mengine yatakuja yenyewe ukiwekeza nguvu sana kwenye mapenzi utapatashida wanawake wenyewe wanataka wakute umeshatafuta chamsingi Pesa.Hawaelewek hao
Mwanaume ni kutafuta pesa tu, mengine yatakuja yenyewe ukiwekeza nguvu sana kwenye mapenzi utapatashida wanawake wenyewe wanataka wakute umeshatafuta chamsingi Pesa.
Tatizo letu wanaume siyo wakwel tunatakiwa tuwe wakwel mwanamke akujue kiuchumiHivi umewahi kuishi na mwanamke anae lalamika mala kwa mala hujampa pesa fulani ??
Aisee unaweza pAkimbia kwako na kulala bar
Kosa kubwa sana hiloTatizo letu wanaume siyo wakwel tunatakiwa tuwe wakwel mwanamke akujue kiuchumi
Pesa ndio kila kitu mkuu, bora upate pesa kwanza then mapenzi yakusumbue hapo kidogo kuna afadhaliUmenena mkuu bora uwe na chapaa
Hivi umewahi kuishi na mwanamke anae lalamika mala kwa mala hujampa pesa fulani ??
Aisee unaweza pAkimbia kwako na kulala bar