Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 880
- 1,537
Wadau wana Jf.......
Hivi ni sawa kwa mwanaume kupambana na hata kukopa fedha ili kutatua changamoto ya kifedha ya mpenzi wake ili asije akaomba kwingine huko nao wakataka rushwa ya ngono?
Hiki ni kisa mwanamke kasafiri katokea mikoa ya kaskazini kaenda Dar kwa issue ya kumsalimia Mgonjwa( mama yake) makubaliano na Me wake ni Akae siku mbili arudi matokeo yake amekaa siku nne
Mwanaume akawa anafosi arudi!
Wakakubaliana tena Atarudi mwanamke akapanga siku inayofuata.
Mwanaume akatuma Nauli ya kurudi kumbuka nauli ya kwenda pamoja na Mambo mengine alimpatia 50, 000 ,
Akamtumia nauli kesho yake mwanaume kuuliza umeshapanda gari aka delay kujibu meseji akajakujibu jana usiku alikuwa akiangalia Bongo star search
Amechelewa kuamka.
Mwanaume akamjibu sawa, alichokifanya aliingia kwenye Menyu ya Mpesa na kurudisha Mwamala!!
Mwanamume akamtext:
"Naona nakusumbua Mapenzi yetu yatukuwa Magumu sana".
Akamwambia sawa anashukuru.
Jana mwanamke anauliza " Hiyo nauli unatuma au"
Mwanaume amekaa kimya je Huyu Mwanaume yupo sawa atume arudi au amlie Ganzi mazima?
Hivi ni sawa kwa mwanaume kupambana na hata kukopa fedha ili kutatua changamoto ya kifedha ya mpenzi wake ili asije akaomba kwingine huko nao wakataka rushwa ya ngono?
Hiki ni kisa mwanamke kasafiri katokea mikoa ya kaskazini kaenda Dar kwa issue ya kumsalimia Mgonjwa( mama yake) makubaliano na Me wake ni Akae siku mbili arudi matokeo yake amekaa siku nne
Mwanaume akawa anafosi arudi!
Wakakubaliana tena Atarudi mwanamke akapanga siku inayofuata.
Mwanaume akatuma Nauli ya kurudi kumbuka nauli ya kwenda pamoja na Mambo mengine alimpatia 50, 000 ,
Akamtumia nauli kesho yake mwanaume kuuliza umeshapanda gari aka delay kujibu meseji akajakujibu jana usiku alikuwa akiangalia Bongo star search
Amechelewa kuamka.
Mwanaume akamjibu sawa, alichokifanya aliingia kwenye Menyu ya Mpesa na kurudisha Mwamala!!
Mwanamume akamtext:
"Naona nakusumbua Mapenzi yetu yatukuwa Magumu sana".
Akamwambia sawa anashukuru.
Jana mwanamke anauliza " Hiyo nauli unatuma au"
Mwanaume amekaa kimya je Huyu Mwanaume yupo sawa atume arudi au amlie Ganzi mazima?