kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,120
- 14,492
Aisee kiukweli hata mimi.
swala la kuachana na mwanamke kisa pesa na mimi nimuhanga wa hilo.
Ukiwa na salary ya 300k hivi bado kuishi na baadhi ya wanawake ni ngumu sana.
Isiwe tabu tuendelee kuishi kivyetu tu, na wapenz fake, kuowa isubir kwanza.
Now nmesema lazima 250k piga uwa lazima ibaki kama faida kwa mwezi
Before nme ji drain sana yan
Ila hawa watu mungu atusaidie sana