xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,307
Binadamu hatuko sawa kiuchumi so anaenunua kaused kake muheshim maana kinamsaidia yy,na ambae ananunua brand new kutoka UK,german nao inamsaidia yeye... So mwenye akili timamu hua hapondi wala kudharau mtu yyte hata asiekua na gar... Pole sana bahat mbaya tuna uchungu ya watto wa wenzetu waliofariki jana kule arusha lasivyo ungekula matus yakutisha