Okinawan
JF-Expert Member
- Apr 10, 2018
- 253
- 259
Watu tofauti hutafsiri kuwa mtoto ni baraka,wengine husema mtoto ni bahati,mtoto hana hatia nk.
Na pia maandiko matakatifu(bible) yanasema kwamba "waacheni watoto wadogo waje kwangu .......... "
Sasa katika harakati zangu za hapa na pale nilisikia kunamzozo mkubwa ambao uliniacha nijiulize maswali kadhaa na moja ya maswali ni je,lazima mtoto mchanga agungwe dawa/hirizi mkononi?
Kisa chenyewe kilikuwa hivi
"Jamaa alikuwa na misimamo ya kidini na alibahatika kupata mtoto.Sasa kwasiri kubwa mkewe akishirikiana na mama yake mzazi waliamua kumpeleka kwa mganga na kwenda kumfunga dawa/hirizi mkononi.Mkewe na mama yake mzazi walipatana hiyo iwe ni siri yao.Sasa kwasababu jamaa alikuwa amesafiri hakujua kilichoendelea.
Mwisho wa siku mke alivyojua jamaa anakaribia kurudi mkewe akaanza kujihami akamwambia kwamba mama yako mzazi amemfunga dawa mtoto na mimi nilikubali kwasababu nilijua wewe umemuagiaza afanye hivyo.
HAPO NDIPO NILIPOSIKIA UGOMVI UKIANZA KATIKA MAZUNGUMZO YAO JAMAA AKIMLAUMU MKEWE KWA HILO JAMBO ALILOLIFANYA AKIDAI KUWA HAKUNA UMUHIMU WA MTOTO KUFANYIWA HIVYO.
Na pia maandiko matakatifu(bible) yanasema kwamba "waacheni watoto wadogo waje kwangu .......... "
Sasa katika harakati zangu za hapa na pale nilisikia kunamzozo mkubwa ambao uliniacha nijiulize maswali kadhaa na moja ya maswali ni je,lazima mtoto mchanga agungwe dawa/hirizi mkononi?
Kisa chenyewe kilikuwa hivi
"Jamaa alikuwa na misimamo ya kidini na alibahatika kupata mtoto.Sasa kwasiri kubwa mkewe akishirikiana na mama yake mzazi waliamua kumpeleka kwa mganga na kwenda kumfunga dawa/hirizi mkononi.Mkewe na mama yake mzazi walipatana hiyo iwe ni siri yao.Sasa kwasababu jamaa alikuwa amesafiri hakujua kilichoendelea.
Mwisho wa siku mke alivyojua jamaa anakaribia kurudi mkewe akaanza kujihami akamwambia kwamba mama yako mzazi amemfunga dawa mtoto na mimi nilikubali kwasababu nilijua wewe umemuagiaza afanye hivyo.
HAPO NDIPO NILIPOSIKIA UGOMVI UKIANZA KATIKA MAZUNGUMZO YAO JAMAA AKIMLAUMU MKEWE KWA HILO JAMBO ALILOLIFANYA AKIDAI KUWA HAKUNA UMUHIMU WA MTOTO KUFANYIWA HIVYO.