Kumfikisha kileleni ni kujitafutia balaa

Kumfikisha kileleni ni kujitafutia balaa

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,142
Reaction score
166,071
Kijana wa watu, nimejituma, nimejitutumua, nimefanya mautundu yangu yote,
unakaribia kupanda jukwaani, unapiga makelele, mijasho inakutoka, macho umeyatoa utadhani umeona jini anambusu malaika, makelele yako yamesha anza kuniboa, ohh amkaming, amkaming , mara nimeng"atwa, tena hujaridhika, unaehamia kung'ata pengine, unanikwarua, nachurizika midamu......
Ndio unajidai ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu chako, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio??
 
Hahahahahaaaaa, welcome back Bujibuji! We missed you!
Kijana wa watu, nimejituma, nimejitutumua, nimefanya mautundu yangu yote,
unakaribia kupanda jukwaani, unapiga makelele, mijasho inakutoka, macho umeyatoa utadhani umeona jini anambusu malaika, makelele yako yamesha anza kuniboa, ohh amkaming, amkaming , mara nimeng"atwa, tena hujaridhika, unaehamia kung'ata pengine, unanikwarua, nachurizika midamu......
Ndio unajidai ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu changa, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio??
 
Last edited by a moderator:
Amkaming huwa nyingine zinaambatana na maruhani. Nilikwisha wahi kabwa roba miye, nikakumbuka siku niliyokabwa na kuibiwa kisimu changu cha machina. Mapenzi bhanaaa!!!!
Duhhhh baada ya kabari kutoka kwa mrembo hukupatwa na mnyauko wa kiumbe hai?
 
ha ha ha ha Bujibuji heee amkaming mwenzio alikuwa mbaliiii hta hajielewi

amekuweka na love bite kweli furahi kwa maana kuna ambao hawajawahi kuna hiyo kitu ya kmfikisha mtu kileleni
 
Last edited by a moderator:
Kijana wa watu, nimejituma, nimejitutumua, nimefanya mautundu yangu yote,
unakaribia kupanda jukwaani, unapiga makelele, mijasho inakutoka, macho umeyatoa utadhani umeona jini anambusu malaika, makelele yako yamesha anza kuniboa, ohh amkaming, amkaming , mara nimeng"atwa, tena hujaridhika, unaehamia kung'ata pengine, unanikwarua, nachurizika midamu......
Ndio unajidai ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu chako, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio??

Haya ndo mavuno ya mvua za mjini na zikiendekea hv hizo mimba cjui hao wanao kaming wataijazana lebar
 
tena hujaridhika, unaehamia kung'ata pengine, unanikwarua, nachurizika midamu......
Ndio unajidai ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu chako, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio??

pole sana mkuu...
bleeding_man.jpg
 
Kijana wa watu, nimejituma, nimejitutumua, nimefanya mautundu yangu yote,
unakaribia kupanda jukwaani, unapiga makelele, mijasho inakutoka, macho umeyatoa utadhani umeona jini anambusu malaika, makelele yako yamesha anza kuniboa, ohh amkaming, amkaming , mara nimeng"atwa, tena hujaridhika, unaehamia kung'ata pengine, unanikwarua, nachurizika midamu......
Ndio unajidai ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu chako, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio??

duu ama kweli upele hupewa msikucha...!
 
Duh hapa tu umeniacha hoi ...'' ohh darling amsole, I waz kaming......toka na kizungu chako, kaming from wea uniumize hivi mtoto wa mwenzio?? '' Hahahahahahahaaaaaaaaaa chezea totoz wewe.
 
Back
Top Bottom