Kumfikiria mtu halafu baada ya siku 2 au 3 unamuona

Kumfikiria mtu halafu baada ya siku 2 au 3 unamuona

Mimi sio mjuaji nina umri wa babu yako
Unaona!!!!...unaona!!!....wadau mnamuona huyu jamaa....huyu jamaa mjuaji sana asee!!! Nawashauri jf wampige ban hata ya mwaka mzima!!! mjuaji sana huyu jamaa....sijui wa wapi huyu mtu!!! Hovyo sana asee!!!!..Atakua shabiki wa simba huyu...mjuaji sana!!!!
 
Unaona!!!!...unaona!!!....wadau mnamuona huyu jamaa....huyu jamaa mjuaji sana asee!!! Nawashauri jf wampige ban hata ya mwaka mzima!!! mjuaji sana huyu jamaa....sijui wa wapi huyu mtu!!! Hovyo sana asee!!!!..Atakua shabiki wa simba huyu...mjuaji sana!!!!
Mjuaji babaako
 
Nitumie usafiri nihamie yanga
Hii avatar yako Ina picha ya polisi...kwani ndio wewe hapo? Kama ndivyo...sitaki mazoea kabisa na watu kama nyie.....achana na Mimi kabisa!!! Nyie watu wajuaji sana!!! Mnakamata watu hovyo....kila mtu mnamwita Panya road....,nyie watu wa ajabu sana!...Sitaki mazoea na wewe tena!!! Nyie watu wajuaji sana nyie!!!
 
Hii avatar yako Ina picha ya polisi...kwani ndio wewe hapo? Kama ndivyo...sitaki mazoea kabisa na watu kama nyie.....achana na Mimi kabisa!!! Nyie watu wajuaji sana!!! Mnakamata watu hovyo....kila mtu mnamwita Panya road....,nyie watu wa ajabu sana!...Sitaki mazoea na wewe tena!!! Nyie watu wajuaji sana nyie!!!
Sasa kama una sura ya panya road kwanini usikamatwe
 
Hawa jamaa wa jf wanalala sana siku hizi....,Maxence Melo tumbua watu wako...., huyu jamaa ni polisi...afu mjuaji sana!!! Majuzi wamekamata raia wema pale Sterio wakasema ni Panya road.... Huyu jamaa mjuaji sana!!!!
Bado wewe....na wakikukamata hawakuachii
 
Bado wewe....na wakikukamata hawakuachii
Sema nini Polisi wangu....huyu jamaa yenu wa sasa hatumsikii kabisa Uraiani....Kamanda Sirro alikua mjuaji sana ,...inavyoonyesha asilimia kubwa ya jeshi lenu lina watu wajuaji wajuaji sana.

Akiendelea hivyo..huenda Mama akamtafutia Kazi nyingine ya kufanya!

Nakumbuka Sirro alikua akihudhuria vikao mpaka vya SADIC, kidogo ahudhurie mpaka vya UN....daah yule jamaa alikua mjuaji sana yule....alikua anapenda kuzurura sana yule...polisi nyie wajuaji sana nyie....mna pyepyepye nyingi sana... ntantarila kibao...kutia watu hofu wawaogope...kujimwambafy...nyie watu wajuaji sana nyie...
 
Hii imekaaje wakuu yaani unamfikiria mtu baada ya siku 2 au 3 unakutana nae njiani ni mazi gaombwe au muujiza wakuu
Nadhan kila mtu amepewa power Fulani ambazo huenda hatuzijui

Ndio maana kuna wengine Wana machale na mambo kama hayo,mtu mwingine anaweza kukwambia tusipite njia hii,na kweli baadae utasikia kulikuwa na majanga.

Mimi binafsi huwa inatokea mara nyingi,naweza kumkumbuka mtu mda si mrefu mara paap ananipigia Simu,au naweza kumkumbuka mtu na kutaka nimpigie mara paap kapiga yeye

Wanasema hizi ni nguvu za kuhisi (intuition) au telepath,waeza kuta mtu huko mbali kapata majanga halafu yeye huku hata kama kashika glass yaweza kumdomdoka Kwa kupata mshtuko
 
Back
Top Bottom