happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
Wakazi wa Ubungo Terminal (nyuma ya stand ya mkoa) wameitishwa kikao na kujulishwa kuwa wanatakiwa kuhama ili kupisha upanuzi wa stand ya mabasi Ubungo, suala ambalo wamelipinga vikali.
Hivi Stand ya mabasi ni lazima ijengwe Ubungo tu? Kwa nini Serikali isitumie maeneo mengine kama eneo la TBS, au Eneo la Viwanda Ubungo pale nyuma ya Twiga Cement au Chibuku kupanua stand na badala yake kuwahamisha wakazi ambao wameshajijenga?
Serikali iangalie uwezekano wa kujenga stand ya kisasa ambako kutakuwa na huduma kwa chini na kwa juuu kuliko kuhamisha walalahoi wa Ubungo. Mbunge wa Ubungo, Mnyika unalijua hili???????
Hivi Stand ya mabasi ni lazima ijengwe Ubungo tu? Kwa nini Serikali isitumie maeneo mengine kama eneo la TBS, au Eneo la Viwanda Ubungo pale nyuma ya Twiga Cement au Chibuku kupanua stand na badala yake kuwahamisha wakazi ambao wameshajijenga?
Serikali iangalie uwezekano wa kujenga stand ya kisasa ambako kutakuwa na huduma kwa chini na kwa juuu kuliko kuhamisha walalahoi wa Ubungo. Mbunge wa Ubungo, Mnyika unalijua hili???????