Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,848
Reaction score
18,122
1110348
 
Hii Ni kwa wafanyakazi wote wa umma au Ni kwa wale tu ambao hupewa simu na mwajiri na kuwekewa vocha au posho ya vocha za muda wa maongezi na mwajiri?
Wote.Serikali haiwezi kukupa ajira halafu uwe kinyume nayo,ni wajibu wako kum-support mwajiri wako.
 
Hii Ni kwa wafanyakazi wote wa umma au Ni kwa wale tu ambao hupewa simu na mwajiri na kuwekewa vocha au posho ya vocha za muda wa maongezi na mwajiri?
Zoezi hili la kuwasajiri wafanyakazi wote wa umma TTCL ni lazima lisimamiwe na TUCTA vinginevyo ni marufuku kudai nyongeza za mishahara!
 
Yaani hawana database yakujua watu wenye laini au la.Mimi ninachojua makampuni yana database ya majina au wenye namba za simu na usipotumia kwa muda wa mwaka mmoja wanampa mtu mwingine sasa TTCL wanataka majina ya nini sasa ai
 
Wote.Serikali haiwezi kukupa ajira halafu uwe kinyume nayo,ni wajibu wako kum-support mwajiri wako.
Haina shida TTCL imejiandaaje kupeleka vocha zake za muda wa maongezi kwa walimu wa shule za msingi mfano walioko maporini vijijini ambako hawajafika na hawana wakala.Vocha za TTCL dar es salaam tu ukitoka nje ya mji kuzipata shida.Haina tatizo wamefunguliwa soko je wamejiandaa kulimudu? Kwa usambazaji vocha na usajiri wa line hasa maeneo remote vijijini kuliko na wafanyakazi wa serikali?
 
Zoezi hili la kuwasajiri wafanyakazi wote wa umma TTCL ni lazima lisimamiwe na TUCTA vinginevyo ni marufuku kudai nyongeza za mishahara!
Hawa wafanyikazi mufilisi kabisa,kwanza kama wangekuwa wanajitambua kusingekuwa na haja hata ya kulazimishwa.Hii inaonyesha wazi kwamba in one way or the other they are aganst the government.Uko kinyume na serikali halafu bila aibu unaomba nyongeza ya mshahara!Aibu sana.
 
Back
Top Bottom