Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Leo nimesikia eti wapiga mbizi kutoka afrika ya kusini wanaelekea kwenye eneo la tukio kuona kama bado kuna watu ndani ya meli! Hivi kweli Tanzania hatuna jeshi la majini? Yaani miaka 15 iliyopita tuliomba wapiga mbizi wa africa ya kusini mv bukoba ilipozama na leo hii tena tunafanya kilekile?
hivi yule mpiga mbizi tuliokuwa tunamuona sabasaba enzi zile tuko watoto bado yupo?
Good observation... kwani ripoti ya Mv. Bukoba mmewahi kuisoma?