Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,490
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
 
Kwa upande wa bara licha ya maneno mengi ya wanasiasa kuhusu ‚mikakati‛ na ‚michakato‛ mingi ya kuboresha usalama barabarani bado ajali za mabasi zim-eendelea kupukutisha wananchi wengi katika mazingira ambayo yanaonekana bado yangeweza kuepupika. Ajali za mara kwa mara za mabasi zimekuwa kama masimulizi ya kujirudia rudia huku viongozi na watendaji wakisiasa wakitoa matamko mbalimbali ya ‚kukemea‛ tabia za ‚madereva‛. Kwa miaka nenda rudi matamko hayo hayajaonekana kuzuia au hata kupunguza kwa kiasi kikubwa athari zinazotokana na ajali za barabarani.
ni mchango kidogo tu. Ninauhakika wengine wataongezeaNdio gazeti la kwanza kulisoma baada ya Msiba Mkubwa huu kulifika taifa. taarifa za kina ... RIP kwa wote .. na poleni wafiwa na Watanzania wote!!
ni mchango kidogo turn. Ninauhakika sentinel wataongezea
Jipatie nakala yako hapa chini na ukiweza unaweza kuchapisha na kuwapatia wale wasioweza kupata kwa njia ya mtandao.
View attachment 37032
ni mchango kidogo tu Ninauhakika sentinel wataongezeaNdio gazeti la kwanza kulisoma baada ya Msiba Mkubwa huu kulifika taifa. taarifa za kina ... RIP kwa wote .. na poleni wafiwa na Watanzania wote!!
ur probably very rightMMKJ kazi nzuri ila jaribu tena ku edit donate paypal button link kwasababu inaleta error. Wewe inaoneka sio marketer mzuri (lol) yaani link zote zinafanya kazi kasoro money link.
tunafaidi sisi wa mitandaoni,laiti TBC1 ingekuwa macho basi tungewapa habari hii ili waweze kuwasomea wadao wao<br />
<br />
shukrani mkuu
Mlikuwa mnalalamika kuwa MEDIA in TANZANIA iko kimyaaa....well, media MOGUL kama Juma Pinto wa JAMBO LEO alikuwa huko kuwapa Support VODACOM
Mlikuwa mnalalamika kuwa MEDIA in TANZANIA iko kimyaaa....well, media MOGUL kama Juma Pinto wa JAMBO LEO alikuwa huko kuwapa Support VODACOM
Jipatie nakala yako hapa chini na ukiweza unaweza kuchapisha na kuwapatia wale wasioweza kupata kwa njia ya mtandao.
View attachment 37032
I doubt if he is that powerful.......