Kumekucha Dar: Mwalimu St. Florence abainika kugeuza watoto kuwa wake zake, wazazi waja juu

Teacher kawafanya wanafunzi wake wanne na kuwageuza wake zake anawapitia kwa zamu tu,
Ile anataka kuanza mahusiano na mwanafunzi wa 5 akaenda kushitaki

Jambo LA kujifunza na kuleta utofauti ni kuangalia why wa tano ndio alikataa na kutambua ni ushenzi na kutoa taatifa na si hawa wengine?.
Anawazidi umri? Ana ukaribu gani na wazazi wake? How often wanamfuatilia compared na hawa wengine?.
Maana tukilaumu tu boarding wakati na huku mitaani wanatusuliwa tunakuwa tunakosea na hatutapata suluisho LA kukomesha haya.
 
La muhimu hapa ni maadili , Taifa lolote linaanzia nyumbani , uumbaji unaanzia nyumbani , maadili yanaanzia nyumbani , nyumbani kukikosa maadili basi tena hatutatoa waalimu wazuri , hatutatoa watumishi waMungu walio bora n.k, hata yesu alizaliwa na Mamabora ,sasa siku hizi mama yuko makumbusho anaoshwa miguu , kweli analea watoto saa ngapi? Tuanze kujikagua sisi wazazi kwanza tupo sawasawa? Hata misemo ya kiswahili inasema kuzaa si kazi kazi kelea mwana .wazazi anzeni kua na nidhamu ninyi wenyewe kwanza.
Sahihi kabisa,
Jamii yetu inamapungufu saana katika malezi. Nimekuwa nikiongea na wazazi mbalimbali juu ya utekelezaji Wa kanuni za shule wanazosoma watoto wetu.

Mzazi mmoja aliwahi kuniambia shule ya mwanae watoto Wa kike wazazi wanakatazwa kuwasuka kwa kuwaremba na vituvitu kichwani, hii inawaondolea watoto wengine ufuatiliaji Wa masomo.

Lkn wazazi hawazingatiii, nimeshuhudia watoto Wa kike wakiwa wameshonewa sketi fupi zilizowabana ( kimtizamo wamependeza kiutu uzima).

Mwanangu aliwahi kusoma hapo kwenye hiyo shule ila nilimuamisha darasa la 5, wakati Fulani nikiwa kwenye ofisi za shule kipindi cha karibu na kufungua shule, alikuja binti mmoja akiwa na Mdogo wake anayetakiwa kuanza shule pale.

Wafanyakazi Wa shule waliongea na yule binti kisha wakaguna nikipofatilia yule binti alikuwa naye ni mwanafunzi Wa pale lkn jinsi alivyojiremba ni kiutu uzima.

Kina mama nyumbani waleeni mabinti zetu kulingana na umri wao, tuwatazame watoto hawa wanaangalia vipindi gani? Kwenye TV, hizo Tamthilia ni mbayaaaa haswa hizi za kwetu zinamafunzo ya mmoja kwa mmoja na mazingira wanayoishi.

Majirani wanawachukulia VP watoto Wa Jirani, tusiwatumie watoto kuwatuma kwa rafiki zetu na tusijifanye wazungu kuonesha mahaba hadharani.
 
Sahihi kabisa,
Jamii yetu inamapungufu saana katika malezi. Nimekuwa nikiongea na wazazi mbalimbali juu ya utekelezaji Wa kanuni za shule wanazosoma watoto wetu.

Mzazi mmoja aliwahi kuniambia shule ya mwanae watoto Wa kike wazazi wanakatazwa kuwasuka kwa kuwaremba na vituvitu kichwani, hii inawaondolea watoto wengine ufuatiliaji Wa masomo.

Lkn wazazi hawazingatiii, nimeshuhudia watoto Wa kike wakiwa wameshonewa sketi fupi zilizowabana ( kimtizamo wamependeza kiutu uzima).

Mwanangu aliwahi kusoma hapo kwenye hiyo shule ila nilimuamisha darasa la 5, wakati Fulani nikiwa kwenye ofisi za shule kipindi cha karibu na kufungua shule, alikuja binti mmoja akiwa na Mdogo wake anayetakiwa kuanza shule pale.

Wafanyakazi Wa shule waliongea na yule binti kisha wakaguna nikipofatilia yule binti alikuwa naye ni mwanafunzi Wa pale lkn jinsi alivyojiremba ni kiutu uzima.

Kina mama nyumbani waleeni mabinti zetu kulingana na umri wao, tuwatazame watoto hawa wanaangalia vipindi gani? Kwenye TV, hizo Tamthilia ni mbayaaaa haswa hizi za kwetu zinamafunzo ya mmoja kwa mmoja na mazingira wanayoishi.

Majirani wanawachukulia VP watoto Wa Jirani, tusiwatumie watoto kuwatuma kwa rafiki zetu na tusijifanye wazungu kuonesha mahaba hadharani.
Kweli mkuu, malezi, malezi , malezi ni kitu muhimu sana , wakina mama wakina baba , tuzingatie malezi bora yenye weledi kwa familia zetu. Vinginevyo tutapiga kelele za chura hazitamzuia ng'ombe kunywa maji
 
Kazi ngumu sana hii ya ualimu na uhasibu unakuwa exposed kwenye
matamanio.Mwl AYOUB amegeuka kuwa public enemy number one
 
Hakuna mtu anaeweza kulea mwanao kama wewe, ukishindwa kulea ukadhani umkimbizie mtoto boarding usaidiwe kulea haya ndio matokeo yake, watamtafuna tu.

The only person to trust kwa mwanao ni wewe mwenyewe, kama wewe huwezi kulea acha kuzaa.
Nimependa sana, mchango wako. Waafrika tuna kasumba ya kukwepa màjukumu lakini kuzaaa, tunapenda sana. Unakuta MTU anakaa chumba sebule lakini ana watoto 4 alafu anafanya kubangaiza vibarua tuuu, mpaka unamuonea huruma ata kubadilisha mboga ni shida, lakini ana family kubwa na bado kwenye vibarua ana wanawake. Nyumbani mahitaji hayatoshi inabidi mke nae mtaaani watu wajibebee wauza bucha, baba mwenye nyumba, watu wa vikoba na Serengeti boys

Ndio Maana mzungu anajua kwy Ukimwi alituweza sana Africa, na hatuwezi kutoka Maana maisha yenyewe changamoto
 
Kudhani tatizo Ni boarding Ni myopic thinking.

Kuna shule za Kayumba day watoto wanadhalilishwa na walimu kila siku.

Kwenye school buses maanko "drivers" wanawatia vidole.

Issue Ni maadili zaidi kuliko hizo hoja nyepesi. Wazazi kuweni karibu na wanenu hata wanapokuwa bweni nendeni visiting days mkaongee nao kuhusu changamoto zao siyo kupeleka chakula na kuwafokea matokeo mabovu.
 
Hakuna mtu anaeweza kulea mwanao kama wewe, ukishindwa kulea ukadhani umkimbizie mtoto boarding usaidiwe kulea haya ndio matokeo yake, watamtafuna tu.

The only person to trust kwa mwanao ni wewe mwenyewe, kama wewe huwezi kulea acha kuzaa.

Lainisha lugha kidogo
 
Kuna wakati nilishangaa kwa nini watu hupeleka watoto wadogo boarding.

Lakini baada ya muda ilinibidi kwa shingo upande nami kufanya hivyo. Ni nacho sema si kila anaepeleka mtoto boarding anafanya hivyo kwa kupenda kuna wengine wanalazimika.

Na hayo yaliyotokea hata shule za day yaweza kutokea, ni shule kuwa na mbinu za ya fuatilia ili waweze kuyazuia kabla hayajatokea.

Poleni wazazi, watoto na shule iliyokumbwa na mkasa huo.

Naona kama haijawa confirmed kuwa wameingiliwa. Kama ndivyo, tusubiri confirmation
 
Huyo mwalimu ajiandae kusomeshwa namba maana hiyo shule inaonekana wanasoma watoto wa wawakubwa.

Lakini watoto wa darasa la saba wa siku hizi wanajua kila kitu hata yale ambayo wazazi wao hawayajui. Mnachotakiwa wazazi acheni kuwapeleka boarding watoto wa primary akina mwalimu Ayoub wapo wengi sana.
 
ni utamaduni wa kishenzi ndiyo ila unakuta hao wazaz wao kuna wake ama mabint za wengine wana wazini ,hapo linalipwa deni
Atakayekubalina na mawazo yako ni mpumbavu tu. Kwanini? Dawa ya wahalifu ni kuwachukulia sheria na wala siyo kubaka watoto wao.
 
Huyo mwalimu ajiandae kusomeshwa namba maana hiyo shule inaonekana wanasoma watoto wa wawakubwa.

Lakini watoto wa darasa la saba wa siku hizi wanajua kila kitu hata yale amabayo wazazi wao hawayajui. Mnachotakiwa wazazi acheni kuwapeleka boarding watoto wa primary akina mwalimu Ayoub wapo wengi sana.
Mtoto ''kujua kila kitu'' siyo sababu ya kumbaka. Hatuwezi kuishi kwenye society zinazoendekez unyama kama huu!
 
Nashauri serikali ipige marufuku shule za msingi kuwa na boarding, binafsi mwanangu nabanana nae home mpaka mpaka sekondari huko na sio form one
 
Nashauri serikali ipige marufuku shule za msingi kuwa na boarding, binafsi mwanangu nabanana nae home mpaka mpaka sekondari huko na sio form one

Kwa hio akiwa day kina mwl.ayub ndio hawawezi kufanya ushenzi wao?.Kumbuka muda mwingi watoto wetu huwa na walimu wao (shuleni) kuliko wanaokuwa nao na sisi wazazi wao.Jambo kama hili limefikia mpaka hatua hio ni kwa uzembe mkubwa shuleni na sisi wazazi.Huyo mwalimu hakuanza na kufanya yote hayo kwa siku mmoja,je shuleni hakukuwa na mwalimu mwengine yeyote au mkuu wa shule aliyeona viashiria?Ufuatiliaji wa karibu kwa wazazi na walimu utakomesha huu ubazazi.
 
Mambo ya boarding ni upuuzi tu tena sana. Wazazi wasikwepe jukumu la kulea kwa kisingizio cha kazi yani. Ni aheri utenge muda ulee mtoto wako kuliko kumpigia teke boarding hasa at the age between 0-10.
Huu ndio umri wa kumshape mtoto afananie maadili yako
 
yaani huyu bazabi alawitiwe hakuna haja ya kumpeleka jela utakuta huko bar ana kimada shule ana mwalimu mwenzie anakanyaga wapangaji wenzie mtaani anademu halafu anakuja kumuambukiza mtoto ukimwi
 
Mtoto ''kujua kila kitu'' siyo sababu ya kumbaka. Hatuwezi kuishi kwenye society zinazoendekez unyama kama huu!

Wazazi mnafanya watoto wajue kila kitu wakiwa bado wadogo na haya ndio matokeo yake, mnamlaumu Mwalimu Ayoub bure tu.

Mtoto akiwa nyumbani anaangalia tamthilia na vipindi ambavyo anajifunza haya mambo ila mzazi hana muda wa kumzuia, uzungu umekuwa mwingi sana kwenye malezi ya watoto, mtoto akishavunja ungo lakini bado anaruhusiwa kuvaa suruali za kubana zinazonesha mwili wake matokeo yake akina Mwalimu Ayoub wanatamani na inakauwa kazi rahisi kupita nae hivi.
 
Back
Top Bottom