Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,765
- 218,383
Taarifa iliyosambazwa leo Dar es salaam inaeleza kwamba ule mkutano kabambe ulioandaliwa na Wazalendo wanaopigania mali za nchi utafanyika Huko Temeke viwanja vya Bulyaga .
Inaelezwa kwamba hutakiwi kukosa Mkutano huo utakaohutubiwa na Wazito kadhaa Wazalendo kutoka vyama vyote ikiwemo ccm, Mkutano huo utaanza mapema saa 3 asubuhi ya Jumapili 23/07/23, hii ni kwa sababu watoa mada ni zaidi ya 50.
Unaambiwa huu ni zaidi ya mikutano ya hadhara uijuayo kwa vile kwa mara ya kwanza utakusanya watu wa vyama vyote , taarifa zaidi zinasema kwamba wako watumishi wazito wa Umma waliotaka kuja kuhutubia ili wafunue yaliyojificha, Lakini Kwa ustaarabu imeonekana Wanabanwa na Kanuni za Utumishi.
Taarifa yao hii hapa
Inaelezwa kwamba hutakiwi kukosa Mkutano huo utakaohutubiwa na Wazito kadhaa Wazalendo kutoka vyama vyote ikiwemo ccm, Mkutano huo utaanza mapema saa 3 asubuhi ya Jumapili 23/07/23, hii ni kwa sababu watoa mada ni zaidi ya 50.
Unaambiwa huu ni zaidi ya mikutano ya hadhara uijuayo kwa vile kwa mara ya kwanza utakusanya watu wa vyama vyote , taarifa zaidi zinasema kwamba wako watumishi wazito wa Umma waliotaka kuja kuhutubia ili wafunue yaliyojificha, Lakini Kwa ustaarabu imeonekana Wanabanwa na Kanuni za Utumishi.
Taarifa yao hii hapa