Kumekucha: Baada ya Kumsajili ili Kuwakoga Wengine na Kumlazimisha aibusu Logo yao mbaya, sasa anataka kuwapeleka FIFA kwa Kukiuka Malipo ya Kimkataba

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,651
109,047
Nyie mlidhani kwakuwa ni Mlevi na mvuta Bangi za Kwao Kinondoni Biafra, Kawe Kijiwe chake maarufu cha Unga Unga na Tandale Gereji wa Dula basi hajui Haki zake na Sheria hivyo mtamburuza tu mtakavyo?

Haya sasa kawapeni hadi mwisho wa Mwezi huu wa Oktoba, 2023 mumlipe Fedha zake anazodai na mlizomhaidi na Kukubaliana nae Kimkataba.

GENTAMYCINE nilishawaonyeni mno hapa JamiiForums kuwa mtawaficha Wote ila siyo Mimi hamsikii na mmesahau kuwa huko huko Klabuni Kwenu nina Marafiki zangu Wakubwa tu kuanzia Wachezaji na Viongozi wenu na wale mnaowaamini wa Matawi yenu yenye Nguvu na ambao huwa hawajui wanayempa Taarifa zenu za Siri ( za Ndani ) ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe wa hapa JamiiForums na kamwe hawatoweza Kunijua na nitaendelea kupata Taarifa zao kila Siku.

Haya akina Ricardo Momo, Mchambuzi Edo Kumwembe, Watangazaji wa Michezo na Wachambuzi wa Michezo nchini bila kusahau wale Bloggers mbalimbali tayari nimeshawapeni hi Taarifa ili nanyi muikopi mjifanye ni yenu ( mmeitafuta nyie ) na muitumie katika Platforms zenu ili mpate Maileage na Sifa ( Credits ) sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King na mtanikubali tu Nyote ( Wote ) mtake msitake Kudadadeki....!!
 
Naona anamjua sana labda kamtia mimba akamtelekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Tokea unihitaji nikuingilie kusikotakiwa na Biblia na Quran unakokupenda na ulikokuzoea umekuwa na Chuki na Hasira sana nami huku ukipenda Kuniandama kwa kila Thread yangu hapa JamiiForums ukidhani nitabadili Msimamo na Kukuingilia. Nasisitiza sitomkosea Mwenyezi Mungu kwa kuifanya Kwako Dhambi hiyo iliyolaanika.

Pumbavu.
 
Mbona mnamshambulia mjumbe badala ya ujumbe?
Wasikutishe hakuna wa Kuniweza au Kushindana nami kwa Vita niliyoibobea na niliyo na PhD nayo kama ya Maneno na Majibizano hata wakiwa 500 nami nikiwa peke yangu Jeshi la Mtu Mmoja GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: ngara23, TUKANA UONE etc

Kudadadeki....!!

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Emoro yupo site
JamiiForums-1383339433.jpg
 
Nyie mlidhani kwakuwa ni Mlevi na mvuta Bangi za Kwao Kinondoni Biafra, Kawe Kijiwe chake maarufu cha Unga Unga na Tandale Gereji wa Dula basi hajui Haki zake na Sheria hivyo mtamburuza tu mtakavyo?

Haya sasa kawapeni hadi mwisho wa Mwezi huu wa Oktoba, 2023 mumlipe Fedha zake anazodai na mlizomhaidi na Kukubaliana nae Kimkataba.

GENTAMYCINE nilishawaonyeni mno hapa JamiiForums kuwa mtawaficha Wote ila siyo Mimi hamsikii na mmesahau kuwa huko huko Klabuni Kwenu nina Marafiki zangu Wakubwa tu kuanzia Wachezaji na Viongozi wenu na wale mnaowaamini wa Matawi yenu yenye Nguvu na ambao huwa hawajui wanayempa Taarifa zenu za Siri ( za Ndani ) ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe wa hapa JamiiForums na kamwe hawatoweza Kunijua na nitaendelea kupata Taarifa zao kila Siku.

Haya akina Ricardo Momo, Mchambuzi Edo Kumwembe, Watangazaji wa Michezo na Wachambuzi wa Michezo nchini bila kusahau wale Bloggers mbalimbali tayari nimeshawapeni hi Taarifa ili nanyi muikopi mjifanye ni yenu ( mmeitafuta nyie ) na muitumie katika Platforms zenu ili mpate Maileage na Sifa ( Credits ) sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King na mtanikubali tu Nyote ( Wote ) mtake msitake Kudadadeki....!!
Mkude alikukaza sio bure. Kila kukicha huishi kumzungumza humu
 
Back
Top Bottom