GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,047
Nyie mlidhani kwakuwa ni Mlevi na mvuta Bangi za Kwao Kinondoni Biafra, Kawe Kijiwe chake maarufu cha Unga Unga na Tandale Gereji wa Dula basi hajui Haki zake na Sheria hivyo mtamburuza tu mtakavyo?
Haya sasa kawapeni hadi mwisho wa Mwezi huu wa Oktoba, 2023 mumlipe Fedha zake anazodai na mlizomhaidi na Kukubaliana nae Kimkataba.
GENTAMYCINE nilishawaonyeni mno hapa JamiiForums kuwa mtawaficha Wote ila siyo Mimi hamsikii na mmesahau kuwa huko huko Klabuni Kwenu nina Marafiki zangu Wakubwa tu kuanzia Wachezaji na Viongozi wenu na wale mnaowaamini wa Matawi yenu yenye Nguvu na ambao huwa hawajui wanayempa Taarifa zenu za Siri ( za Ndani ) ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe wa hapa JamiiForums na kamwe hawatoweza Kunijua na nitaendelea kupata Taarifa zao kila Siku.
Haya akina Ricardo Momo, Mchambuzi Edo Kumwembe, Watangazaji wa Michezo na Wachambuzi wa Michezo nchini bila kusahau wale Bloggers mbalimbali tayari nimeshawapeni hi Taarifa ili nanyi muikopi mjifanye ni yenu ( mmeitafuta nyie ) na muitumie katika Platforms zenu ili mpate Maileage na Sifa ( Credits ) sawa?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King na mtanikubali tu Nyote ( Wote ) mtake msitake Kudadadeki....!!
Haya sasa kawapeni hadi mwisho wa Mwezi huu wa Oktoba, 2023 mumlipe Fedha zake anazodai na mlizomhaidi na Kukubaliana nae Kimkataba.
GENTAMYCINE nilishawaonyeni mno hapa JamiiForums kuwa mtawaficha Wote ila siyo Mimi hamsikii na mmesahau kuwa huko huko Klabuni Kwenu nina Marafiki zangu Wakubwa tu kuanzia Wachezaji na Viongozi wenu na wale mnaowaamini wa Matawi yenu yenye Nguvu na ambao huwa hawajui wanayempa Taarifa zenu za Siri ( za Ndani ) ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe wa hapa JamiiForums na kamwe hawatoweza Kunijua na nitaendelea kupata Taarifa zao kila Siku.
Haya akina Ricardo Momo, Mchambuzi Edo Kumwembe, Watangazaji wa Michezo na Wachambuzi wa Michezo nchini bila kusahau wale Bloggers mbalimbali tayari nimeshawapeni hi Taarifa ili nanyi muikopi mjifanye ni yenu ( mmeitafuta nyie ) na muitumie katika Platforms zenu ili mpate Maileage na Sifa ( Credits ) sawa?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King na mtanikubali tu Nyote ( Wote ) mtake msitake Kudadadeki....!!