kumegewa ni siri ya ndani???

kumegewa ni siri ya ndani???

Kiwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
2,102
Reaction score
910
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!

nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!
 
Kuna maswala mengine kuwa na majibu sahihi kabla ya tukio ni ngumu.

unashangaa na ukali wako wote huo kwenye thread, ile tu kumfumania unazimia, Unakuja kuzinduka wife ndio anakupepea. wakati unajiuliza nini kimetokea ameshakufix siku nyiiiiingi!!!!!!! Waaiiii!

kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!

nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!
 
kuna bwana mdogo mmoja wa
miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa
ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my
wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto
kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!

nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!

Ukishindwa kuifanya ni siri ya ndani ujue wewe sio mjanja kwa mujibu wa hao wazee wa zamani.
 
Ukishindwa kuifanya ni siri ya ndani ujue wewe sio mjanja kwa mujibu wa hao wazee wa zamani.

me hao wazee wazamani naona mambo ya kugongewa hayakuwepo ndio maana wanaongea hivyo.ingekuwa dunia ya sasa wasingethubutu
 
Kuna maswala mengine kuwa na majibu sahihi kabla ya tukio ni ngumu.

unashangaa na ukali wako wote huo kwenye thread, ile tu kumfumania unazimia, Unakuja kuzinduka wife ndio anakupepea. wakati unajiuliza nini kimetokea ameshakufix siku nyiiiiingi!!!!!!! Waaiiii!

brother hiko kitu hakitatoka moyoni nakiambia
 
Kwa hiyo mleta mada, unataka kufanya matangazo ukimegewa mkeo?!?! Umefanya analysis juu ya madhara hasi na chanya ya wewe kutangaza?!?!
 
me hao wazee wazamani naona mambo ya kugongewa hayakuwepo ndio maana wanaongea hivyo.ingekuwa dunia ya sasa wasingethubutu

Usiwe kama samaki kutamani usivyoviweza
 
Kwa hiyo wewe ukigongewa mkeo utapita mtaani ukitangaza?
Kumegewa mkeo ni aibu kwako na ndo maana akasema ni siri ya ndani meaning sio kitu cha kuhadithia watu!
 
Kuna maswala mengine kuwa na majibu sahihi kabla ya tukio ni ngumu.

unashangaa na ukali wako wote huo kwenye thread, ile tu kumfumania unazimia, Unakuja kuzinduka wife ndio anakupepea. wakati unajiuliza nini kimetokea ameshakufix siku nyiiiiingi!!!!!!! Waaiiii!

umenifuraisha sana,huyu atakayekubal ni mtu wa matukio tu,wyf anipepee???
 
Ukishindwa kuifanya ni siri ya ndani ujue wewe sio mjanja kwa mujibu wa hao wazee wa zamani.

kuna mzee mmoja aliniambia, mambo ya kufumaniana hapo zamani hayakuwepo sana. Walikuwa wanajua uwezekano wa kumegewa ulikuwepo na ndio maana walipokuwa wakirudi toka matembezini ilikuwa ni sharti waimbe imbe au kupiga aina furani ya miruzi kwa sauti ya juu ili kama kuna mmegaji aanze mbele mapema!
 
mwanafa alisema ukimegewa denu wako na wewe tafutata mnyonge ummegee.
..haipunguzi maumivu but inarudisha hafhi ya kiume
 
Aha aha ndio hvyo mkuu,tena mjini mtaji kiuno tu

mtaji kiuno ukimaanisha nini sasa!!!
1. wanawake wanafanya biashara ya kugongwa kila siku mbali na waume zao ili wapate pesa!
2. wanawake wanatumia viuno kuwadanganya waume zao ili wasifatiliwe!
3. wanaume wanashindwa kutumia viuno vyao katika 6*6 kuwapa dozi wake zao!
hebu fafanua mkuu.......
 
Well well
Kwa hiyo wewe ukigongewa mkeo utapita mtaani ukitangaza?
Kumegewa mkeo ni aibu kwako na ndo maana akasema ni siri ya ndani meaning sio kitu cha kuhadithia watu!
 
Kwa hiyo mleta mada, unataka kufanya matangazo ukimegewa mkeo?!?! Umefanya analysis juu ya madhara hasi na chanya ya wewe kutangaza?!?!

dawa yenu supu ya pweza tu...nshajiekea oda mm kila siku!!!
 
Back
Top Bottom