Kiwa
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,102
- 910
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!
nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!
nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!