kumegewa ni siri ya ndani???

kumegewa ni siri ya ndani???

kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!

nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!

Nafikiri ameshindwa kutofautisha kati ya mtu kumegewa na kutoa siri na mtu kumegewa na kuchukua hatua! Kutoa siri saa nyingine si jambo sahihi, maana kwa namna yeyote ile, kitendo cha kumegewa ni fedheha ndani ya ndoa maana huwa connected na mahusiano yenu ya siri ya ndani! Unatoa siri, na wewe unajitangaza dunia nzima kwamba umemegewa bila kujijua, ile si sifa, ni upuuzi!

Kwa upande wangu mimi, njia sahihi ni kuchukua hatua kama umemegewa na siyo kutoa siri. Ukichukua hatua yeye mwenyewe atakwenda kueleza mbele ya safari nini kilimkuta mpaka ukaamua kumchukulia hatua kama ana nguvu ya kufanya hivyo.
 
Kuna maswala mengine kuwa na majibu sahihi kabla ya tukio ni ngumu.

unashangaa na ukali wako wote huo kwenye thread, ile tu kumfumania unazimia, Unakuja kuzinduka wife ndio anakupepea. wakati unajiuliza nini kimetokea ameshakufix siku nyiiiiingi!!!!!!! Waaiiii!

mkuu nimependa sana mawazo yako, umenivunja mbavu. Waaaiii
 
kuna mzee mmoja aliniambia, mambo ya kufumaniana hapo zamani hayakuwepo sana. Walikuwa wanajua uwezekano wa kumegewa ulikuwepo na ndio maana walipokuwa wakirudi toka matembezini ilikuwa ni sharti waimbe imbe au kupiga aina furani ya miruzi kwa sauti ya juu ili kama kuna mmegaji aanze mbele mapema![/QUOTE]

Kwa hiyo kumegewa ilikuwa ruhsa ila kibaya kukutwa eneo la tukio tu?
 
napata supu ya pweza niangalie inakuwaje
 
mtaji kiuno ukimaanisha nini sasa!!!
1. Wanawake wanafanya biashara ya kugongwa kila siku mbali na waume zao ili wapate pesa!
2. Wanawake wanatumia viuno kuwadanganya waume zao ili wasifatiliwe!
3. Wanaume wanashindwa kutumia viuno vyao katika 6*6 kuwapa dozi wake zao!
Hebu fafanua mkuu.......
mkuu,
kuna watu wameajiriwa na wake za wake vitandani,sasa mtaji hapo si kiuno tu cha mtu....
 
na sio kumegewa tu,hata kuhisi unamegewa huwezi kutangaza, na ndio maana wanaume wengi tuna ishi bila amani Mioyoni mwetu,,Ni nani alisha wahi kuhisi Mkewe ana megwa na akatangaza???
 
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa halafu kufa kisabuni eti "ujanja"!!!

nitam ufoo saro mtu hadharani!!!!

sasa akimegwa utafanyaje??utatangaza...?
 
mtaji kiuno ukimaanisha nini sasa!!!
1. wanawake wanafanya biashara ya kugongwa kila siku mbali na waume zao ili wapate pesa!
2. wanawake wanatumia viuno kuwadanganya waume zao ili wasifatiliwe!
3. wanaume wanashindwa kutumia viuno vyao katika 6*6 kuwapa dozi wake zao!
hebu fafanua mkuu.......

Zote 1,2,3 ni majibu sahihi!!!
 
Kwa hiyo wewe ukigongewa mkeo utapita mtaani ukitangaza?
Kumegewa mkeo ni aibu kwako na ndo maana akasema ni siri ya ndani meaning sio kitu cha kuhadithia watu!

We muache akitangaza tu hiyo ndio tiketi atagongewaaeee mpaka basi... si wana kitaa watamuone wife wa mshikaj mbeyabeans wota mara moko.
 
Nafikiri ameshindwa kutofautisha kati ya mtu kumegewa na kutoa siri na mtu kumegewa na kuchukua hatua! Kutoa siri saa nyingine si jambo sahihi, maana kwa namna yeyote ile, kitendo cha kumegewa ni fedheha ndani ya ndoa maana huwa connected na mahusiano yenu ya siri ya ndani! Unatoa siri, na wewe unajitangaza dunia nzima kwamba umemegewa bila kujijua, ile si sifa, ni upuuzi!

Kwa upande wangu mimi, njia sahihi ni kuchukua hatua kama umemegewa na siyo kutoa siri. Ukichukua hatua yeye mwenyewe atakwenda kueleza mbele ya safari nini kilimkuta mpaka ukaamua kumchukulia hatua kama ana nguvu ya kufanya hivyo.

Nakubaliana na wewe mkuu.
Kweli ukijikuta kwenye hali hiyo ukaamua kutulia na kufanya maamuzi ya kiutu uzima msaliti wako wako atajipeleka mwenyewe kujishtaki.
Japo inahitaji moyo.
 
me hao wazee wazamani naona mambo ya kugongewa hayakuwepo ndio maana wanaongea hivyo.ingekuwa dunia ya sasa wasingethubutu

Yalikuwepo sana ndio ulipo zaliwa msemo kitanda hakizai haramu.na wao walikuwa busy na kazi.kizazi hichi tuko busy kupekua simu na email address za wake/waume na kufuatilia kila hatua ya mtu.haya ndio yanasababisha house girl/boy kutumika coz nje ufuatiliaji ni mkubwa sana.
 
Kudhibiti kumegewa kuna jamaa yupo gambushi anakupa dawa jamaa akiangalia papuchi anaona nyoka.

Na pia kuna chupitrack ikivuliwa tu alarm inagonga kwenye simu yako.

Teh teh usingizi umegoma.
 
Kudhibiti kumegewa kuna jamaa yupo gambushi anakupa dawa jamaa akiangalia papuchi anaona nyoka.

Na pia kuna chupitrack ikivuliwa tu alarm inagonga kwenye simu yako.

Teh teh usingizi umegoma.

hahahah mkuu hapo umeua!kitu cobra kabisa?
hiyo chupi track si itakuwa inalia hata mtu akienda toilet sasa?
 
Back
Top Bottom